Wakiamuka nawaomba waje wajibu masali ayaUnaowahtaj bado wanalala
Kumbe wanaviongozi kabisa basi namsubiriNgoja kiranja wao Lizaboni aamke atatimba hapa kufafanua.
Sawa mzee baba kwa kifupi itakuwa ni political jokes tu nimekupataAssumption ya wapinzani ni kuwa ukiwa mtetezi wa CCM ni kuwa unalipwa elfu 7 na sehemu ya kulipiwa ni Lumumba, au kuwa hao vijana wanaitetea CCM ameajiriwa na wana sehemu special pale lumumba na wanalipwa kiwango hicho cha hela
yaweza kuwa kweli
yaweza kuwa uongo
myth
Yeye ni kiongoz au member wa buku 7??Subiri Mzee tupatupa wa Lumumba akuje
Kwa kifupi itakuwa siku hizi hawapo tena??Tetetete siku hizi hakuna tena wapowapo humu wanalandalanda tu na matusi yao hayana hoja yamebaki kushambikia kula rambirambi za wahanga pyuuuu tema mate
Swissme
Kumbe ni ajira???Hiyo ni timu ya vijana wafia CCM.
Kazi yao kubwa ni kukesha kwenye mitandao ya kijamii wakibwabwaja na kukitetea chama mfu cha CCM pamoja na mwenyekiti wao hata ambapo mwenyekiti wao ana makosa.
Kibaya zaidi wanafanya ujinga huo kwa malipo ya shilingi za kitanzania elfu saba(7 000/-) tu.
Mkuu hapo ndipo umenijibu swali??chagadema mna tabu sana
Sawa namsubiriaSubiri Lizaboni aje afafanue vizuri!
Nasikia yeye hua ndio anapewa kuwagawia wenzake.