Lukuvi amfagilia Mnyika

Lukuvi amfagilia Mnyika

Du! Ule mwili wa mnyika anaweza kutikisa kweli bunge lote lile.

Hapana hawezi. Ila Lyatonga na Kigoda wanaweza kabisa.

Uwezo wako ni mdogo bora ukakojoe ukalale. Bungeni hawabebi magunia acha upashukuna wewe!
 
kwa hiyo mr dhaifu imepitishwa kama ilivyo pitishwa ya mpumbafu..
 
hawana uwezo wa kuchanganua mambo utashangaa leo wanamuunga mkono lukuvi lakini juzi mnyika alipowaambia ukweli kuwa kikwete ni dhaifu waling'aka kama simba kashikwa makalio..
Hawa jamaa ni janga kwa taifa
Tuwaweke kwenye maombi pepo wanaowasumbua waishe
 
Hapana hawezi. Ila Lyatonga na Kigoda wanaweza kabisa.

Uwezo wako ni mdogo bora ukakojoe ukalale. Bungeni hawabebi magunia acha upashukuna wewe!
Mwache alale...hata akikojoa poa tu kuliko kero zake humu
 
mimi chadema damu ila namkubali sana mnyika kuliko lissu. Tatizo la lissu anaongea mno kwa jazba hata kama jambo ni dogo
 
Sio siri kama bunge hili chadema kingepata wabunge kumi tu wenye uwezo kama wa Mnyika tungekuwa tunazungumza lugha nyingine kuhusu 2015, ametulia sana, hana kashfa wala matusi si mbabe, na mara zote amekuwa mbali na makashfa ya ugomvi dhidi ya wenzake, mnyika anastahili pongezi kusema kweli
alitumia maneno ya kuuzi/kejeli dhidi ya JK pale alipomuita DHAIFA- hata kama ni ukweli
 
go on Myika
wana ubungo tuko nyuma yako
nahisi JK kawapiga msasa mawaziri wake kuwa serious na suala la katiba
waache ushabiki wa kichama..
JK akiendelea hivi huenda akaipata tuzo ya Mo Ibrahim
 
mimi chadema damu ila namkubali sana mnyika kuliko lissu. Tatizo la lissu anaongea mno kwa jazba hata kama jambo ni dogo

hayo ndiyo manondo ya ukweli sasa
 
Mchakato wa kumg'oa jimboni kwake ismani uko palepale ! Hatudanganyiki !
 
Juzi Spika alimwambia Mnyika wewe tu Mwongozo kila siku haya sema bassi sema Mnyika akamnukulia kifungi kwa kanuni murua Spika akaishia ni kweli nakubaliana nawe kabla ya saa saba nitakupatia jibu ,Mnyika yupo mbali mno anapambana na magamba hata kwa saa tano bila kuchoka bungeni
 
Juzi Spika alimwambia Mnyika wewe tu Mwongozo kila siku haya sema bassi sema Mnyika akamnukulia kifungi kwa kanuni murua Spika akaishia ni kweli nakubaliana nawe kabla ya saa saba nitakupatia jibu ,Mnyika yupo mbali mno anapambana na magamba hata kwa saa tano bila kuchoka bungeni
Yah naikumbuka hilo tukio.
 
mimi chadema damu ila namkubali sana mnyika kuliko lissu. Tatizo la lissu anaongea mno kwa jazba hata kama jambo ni dogo

Lissu ni Jembe linguine la Chadema....Huwa Lissu akiongea lazima kwanza niwe attentions kufyonza elimu yake..
 
Back
Top Bottom