yegella
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 3,113
- 1,104
Mnyika ni kijana hazina ya Taifa asirubuniwe na maccm tu.
baada ya pongezi hizi mnyika ongeza kasi iko siku kikwete atakupongeza maana uliaema ukweli..
Mnyika ni kijana hazina ya Taifa asirubuniwe na maccm tu.
untaka mabadiliko gani kutoka kwa Mnyika?Unasifiwa alafu hakuna mabadiliko ndo nini
Bavicha kwa matusi hamjambo twende kazi.Kwani server za baba yako?
Changia JF ndo useme kuhusu server sio kujipendekeza kwa wanaume wenzio ili wakupe buku ya vocha...nyoooo
Du! Ule mwili wa mnyika anaweza kutikisa kweli bunge lote lile.hali iliyowashitua wengi, mnadhimu wa bunge mhe. Lukuvi leo ametumia zaidi ya dakika tatu akimusifia kijana machachali aliyewahi kuweka wazi kuwa rais wa nchi hii ni dhaifu na baada ya kutafakali kwa miezi nenda rudi lukuvi amegundua john john mnyika ni kijana makini na anampenda sana pia amempongeza Freeman Mbowe kwa kumteua kuja naye ikulu..
mods naomba msiunganishe na thread nyingine
Du! Ule mwili wa mnyika anaweza kutikisa kweli bunge lote lile.
Bavicha kwa matusi hamjambo twende kazi.
Du! Ule mwili wa mnyika anaweza kutikisa kweli bunge lote lile.
Du! Ule mwili wa mnyika anaweza kutikisa kweli bunge lote lile.
Waambie UVCCM wawe wanakubali ibapobidi sio kupinga hata vitu vilivyowazi...wana lengo la kuokomboa nchi au ndo ushabiki wa kununuliwa!?
Ifike mahali muwe wazalendo wa nchi yetu otherwise tamaa na njaa itawaponza kuikosa mbingu.