nyangasese
Senior Member
- Aug 21, 2011
- 129
- 22
Ametoa taarifa isiyo sahihi kwa niaba ya serikali kwa kusema kuwa meli iliyozama inaitwa "seagul".Nina wasi wasi wasi na umakini wa serikali juu ya suala hili.
Ametoa taarifa isiyo sahihi kwa niaba ya serikali kwa kusema kuwa meli iliyozama inaitwa "seagul".Nina wasi wasi wasi na umakini wa serikali juu ya suala hili.
Ametoa taarifa isiyo sahihi kwa niaba ya serikali kwa kusema kuwa meli iliyozama inaitwa "seagul".Nina wasi wasi wasi na umakini wa serikali juu ya suala hili.
Namchukia sana huyo kiazi, anachofanya bungeni hakieleweki, kazi kuomba miongozo...
ndo maana tutakwenda jimboni kwake m4c mpaka 2015 tumng'oe
@nyangasese, ebu tupe ukweli, hii meli inaitwaje? Maana hata katika magazeti ya leo kila moja linataja jina lake!Ametoa taarifa isiyo sahihi kwa niaba ya serikali kwa kusema kuwa meli iliyozama inaitwa "seagul".Nina wasi wasi wasi na umakini wa serikali juu ya suala hili.
Magwanda wote lazima wawachukie Lukuvi na Mwigullu, hakika ni koboko yao. Wamezoea wakisema kitu wananyamaziwa, sasa hizi njemba 2 zinajua udhaifu wa Magwanda ile mbaya.
:flypig:
Ametoa taarifa isiyo sahihi kwa niaba ya serikali kwa kusema kuwa meli iliyozama inaitwa "seagul".Nina wasi wasi wasi na umakini wa serikali juu ya suala hili.