Lukuvi amelidanganya bunge

Lukuvi amelidanganya bunge

Ametoa taarifa isiyo sahihi kwa niaba ya serikali kwa kusema kuwa meli iliyozama inaitwa "seagul".Nina wasi wasi wasi na umakini wa serikali juu ya suala hili.

Ningekuona wa maana na wewe ka ungesema jina halisi ya hiyo meli..
 
Kwa hali tuliyonayo sasa hakuna mtanzania au hata muismani asiyejua kwamba unazi wa Lukuvi umezidi anashindwa hata kuzungumza ukweli wa hali ilivyo ni Waziri stupdy. Yeye kila jambo anajua nilazima liwe la kichama kila kitu kanuni Binafsi nime mchukia sana kwa sanaa zake. Niwasihi wenye hasira kama mimi juu ya mpuuzi tumvumilie lakini sikuikifika sisi tunaliaga Kileuwiiiiiiiiii ujue hatari tutamng'oa.
:hat:
 
tangu jana saa saba mchana hadi leo hii saa tatu asubuhi, bado waziri wa nchi hana hata jina kamili la meli iliyozama? Hicho wanachosema wanafuatilia ni kitu gani?
huyu si yule aliyetajwa kwenye kitabu cha mafisadi wakuu wa elimu tanzania. Sasa watu walitegemea nini. Ndo ahwa wanaojipendekeza kwa kikwete ambao wako tayari kumpa mzinzi yule hata mkewe ilimradi watoto waende chooni. Nchi inaendeshwa kama choo cha kulipia
 
Ha ha haa,wanahabari wa Serikali nao miyeyusho tu!
 
Ametoa taarifa isiyo sahihi kwa niaba ya serikali kwa kusema kuwa meli iliyozama inaitwa "seagul".Nina wasi wasi wasi na umakini wa serikali juu ya suala hili.

kuna thread iliyo kuwa jamii forums ndo iliyo mdanganya. zile zilikuwa tetesi lakini yeye akajua ndo ukweli. hahaaa..!!! sijui alikosa mda wa kupitia jf tena!?
 
Duuu yan hata Meli nazo zinapiga magumashi kama vi panya vya njia zisizo rasmi daaaaa
 
nachoka kabisa na huyo Lukuvi mwambie aombe mwongozo ndo shughuli zake. hawana hata huruma watu waliopotoza maisha. hapa sasa idadi ya watu itakuwa tofauti mara 220, 290 hao sumatra kazi yao nini. hali ya hewa jana upepo ulikuwa mkali sana inamaana hamna wakuongoza kila mtu anafanya atakalo.
 
Back
Top Bottom