Arvin sloane
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 996
- 203
hebu tuambie wewe hiyo meli iliyozama inaitwaje?
Hata mkimpeleka Drogba hamuezi kumng'oa Lukuvi.
Vilaza wengine bana.....tabu kweli kweli!:spy:Alisoma na kupata habari kupitia JF ,!
Ametoa taarifa isiyo sahihi kwa niaba ya serikali kwa kusema kuwa meli iliyozama inaitwa "seagul".Nina wasi wasi wasi na umakini wa serikali juu ya suala hili.
Hata mkimpeleka Drogba hamuezi kumng'oa Lukuvi.
Ata kuwa amehujumiwa na cdm!
Ametoa taarifa isiyo sahihi kwa niaba ya serikali kwa kusema kuwa meli iliyozama inaitwa "seagul".Nina wasi wasi wasi na umakini wa serikali juu ya suala hili.
hebu tuambie wewe hiyo meli iliyozama inaitwaje?
Mbona unamsemea sana we mkewe nini? lakini kaa ukijua kwenye majimbo ya uchaguzi hakuna kuomba miongozo subiri wakati ukifika ndo utajua M4C inafanya kazi kivipi we na huyo mmeoHata mkimpeleka Drogba hamuezi kumng'oa Lukuvi.