Lilambalyakwilole
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 1,100
- 649
Una uhakika na unalosema?!!! utakuja niambia kama nawe ni mhanga ngoja utakapoona umekabidhiwa hati miliki ya ardhi yako, ndio useme hayo unayosema. Nadhani wanasheria wengi wameshalizungumzia sana. Huu ni mwaka wa uchaguzi hata ukitaka kuchunga mbuzi mitaa ya posta kwa sasa ni ruksa tu, utaambiwa anajitafutia riziki. ngoja baada ya oct.
ww lukuvi ni mbunge wangu jimbo la ismani iringa, najua utendaji wake, ukienda jimboni kwake wananchi wamekata hatimiliki za kimila. sisi familia yetu tumekata hati miliki pori la uridhi la hekari zaidi ya 80, kwa gharama nafuu. alisha aza kulinda ardhi ya wananchi wake hata kabla hajapewa uwaziri wa ardhi.