Lukuvi ageuka "lulu" Bungeni leo

Lukuvi ageuka "lulu" Bungeni leo

kaka nakupinga kidogo, lowasa hayupo kwenye list ya politician wasomi, ila prof Muhongo ni jembe bz alifanya mengi alipokua waziri toka aondoke hayajaendelezwa tena

sipingani na mtazamo wako hata uchape kazi vipi lakini ukifika hatua ya kudharau wale wamekupa kazi huna maana kabisa na huo ndio ukweli kuhusu Mhongo, kumbuka alisema waTZ wana hela ya juisi hawawezi kuwa kwenye ubia wa gesi.

Lowasa ni jembe ndiye aliyesimamia shule za kata na mradi wa maji Shinyinga na Kahama kutoka Ziwa Victoria, Kuhusu Richmond haikuwa deal yake kwa sisi wa ndani tunajua, ikifika wakati hata wewe utajua tu.
 
sipingani na mtazamo wako hata uchape kazi vipi lakini ukifika hatua ya kudharau wale wamekupa kazi huna maana kabisa na huo ndio ukweli kuhusu Mhongo, kumbuka alisema waTZ wana hela ya juisi hawawezi kuwa kwenye ubia wa gesi. Lowasa ni jembe ndiye aliyesimamia shule za kata na mradi wa maji Shinyinga na Kahama kutoka Ziwa Victoria, Kuhusu Richmond haikuwa deal yake kwa sisi wa ndani tunajua, ikifika wakati hata wewe utajua tu.

ok..ila kwa prof nliona kama hoja yake ina mantiki hvi ni m tz gani angeweza awekeze bilioni 200 rehani kwenye utafiti tu wa gesi huku hajajua outcome yake?...pia huyu alifuatilia sana swala la umeme vijijini alivyotolewa tu likasimama
 
lukuvi jembe, mgogoro wa kigamboni kaumaliza,

sio tu kigamboni ndugu na maeneo mengne mengi sema muda wake ndio unaisha..pia kawaonya na kuwakemea maafisa ardhi waliokua wanapokea rushwa na kujifanya miungu watu....
 
Huduma mbalimbali za ardhi kama kupima viwanja, kubadili hati na nyingnezo nyingi zimeshuka kwa kiwango kikubwa kutokana na hotuba ya bajeti ya wizara iliyosomwa jana. Pia mh. Lukuvi katatua migogoro mingi sana ya ardhi ndani ya muda mfupi. Hivi haya yalimshinda prof. Tibaijuka? Au ndio yale tunayosema kua wasomi wanasiasa hawana mchango wowote kwenye jamii yetu?

CCM JANJA SANA SILENCE CAMPAIGN
Zubaeni tu mpaka uchaguzi ukipita tu!!!

WEMBE NI ULE ULE MAUMIVUU ×2
 
Kuna wasomi wachache nchi hii ndio wenye kuelewa matatizo ya wananchi wao, baadhi yao ni Lowassa na Magufuli. Wengine kama Muhongo na maprofessor wenzake hakuna kitu, wanadhani kujua kile amesomea ndio kujua dunia. Wanasahau kuwa mtu kama Lissu ni zaidi yao kuhusu sheria eti.

Lowassa si Msomi anaungaunga tu ..
 
Huduma mbalimbali za ardhi kama kupima viwanja, kubadili hati na nyingnezo nyingi zimeshuka kwa kiwango kikubwa kutokana na hotuba ya bajeti ya wizara iliyosomwa jana. Pia mh. Lukuvi katatua migogoro mingi sana ya ardhi ndani ya muda mfupi. Hivi haya yalimshinda prof. Tibaijuka? Au ndio yale tunayosema kua wasomi wanasiasa hawana mchango wowote kwenye jamii yetu?

They can , but corruption corrupts even angels! Tibaijuka alikuwa msafi UN, alitukuka. Alipokuja CCM kwenye genge la mafisadi, wizi nje nje, she turned to be corrupt as the father/mother is! Like father like son!
 
Ulaghai tu ni bajeti ya kisiasa zaidi ili kuhakikisha wanapata ridhaa tu lakin bajeti ya mwakani kila kiyu kitarudi kuzidi hivi.
 
Huduma mbalimbali za ardhi kama kupima viwanja, kubadili hati na nyingnezo nyingi zimeshuka kwa kiwango kikubwa kutokana na hotuba ya bajeti ya wizara iliyosomwa jana. Pia mh. Lukuvi katatua migogoro mingi sana ya ardhi ndani ya muda mfupi. Hivi haya yalimshinda prof. Tibaijuka? Au ndio yale tunayosema kua wasomi wanasiasa hawana mchango wowote kwenye jamii yetu?
Kwa hili mimi nampongeza sana Mhe. Lukuvi Siyo tu amejua hali halisi ya kipato cha Watanzania wengi bali pia amethubutu kuamua jambo ambalo mawaziri wengine wasingeweza/wasingejali kulifanya. Isitoshe hafanyi hii kwa ajili ya kuusaka U-Rais
 
They can , but corruption corrupts even angels! Tibaijuka alikuwa msafi UN, alitukuka. Alipokuja CCM kwenye genge la mafisadi, wizi nje nje, she turned to be corrupt as the father/mother is! Like father like son!

Wizi ni tabia tu ya mtu sio chama ua kabila.
Unaposema alipokuwa UN alikuwa safi kuja ccm ndio kawa mwizi hili si sahihi.
Kwani lukuvi ni wa chama gani ivi hujui kama ni wa ccm?
Ccm ni chama kikubwa kikongongwe kina kila aina ya watu wazuri sanaa wapo na wabaya sana wapo.
Hata hivyo yvama vya juzi juzi vina watu wabaya ndio maana vilipata hati chafu kutoka kwa CAG.
 
Huyo mama hakuwa muadilifu bwana hata kidog Sabab alikuwa anajua fika mradi wa Kigamboni ni hewa mbona hakufanya jitihada za kuutatua .
Kaja waziri mwingine kuupatia suluhisho.
 
CCM ina majembe wengi sana. Pia inajua kutumia wataalamu vizuri. Kwa sasa ambae ni kamshna wa ardhi, Dr Mpogole anafanya kazi nzuri sana sana. Ndio maana hawa wakina Lukuvi nao wanang'aa.
 
lukuvi jembe, mgogoro wa kigamboni kaumaliza,

Una uhakika na unalosema?!!! utakuja niambia kama nawe ni mhanga ngoja utakapoona umekabidhiwa hati miliki ya ardhi yako, ndio useme hayo unayosema. Nadhani wanasheria wengi wameshalizungumzia sana. Huu ni mwaka wa uchaguzi hata ukitaka kuchunga mbuzi mitaa ya posta kwa sasa ni ruksa tu, utaambiwa anajitafutia riziki. ngoja baada ya oct.
 
Wizi ni tabia tu ya mtu sio chama ua kabila.
Unaposema alipokuwa UN alikuwa safi kuja ccm ndio kawa mwizi hili si sahihi.
Kwani lukuvi ni wa chama gani ivi hujui kama ni wa ccm?
Ccm ni chama kikubwa kikongongwe kina kila aina ya watu wazuri sanaa wapo na wabaya sana wapo.
Hata hivyo yvama vya juzi juzi vina watu wabaya ndio maana vilipata hati chafu kutoka kwa CAG.

Mbona tuko wote , CCM ni chama kongwe kina kila aina ya uchafu. tatizo ni kuwa tuliowakabidhi madaraka tena makubwa ndio wezi. tatizo liko hapo. Tibaijuka alikuwa na madaraka makubwa, akawa sio mwadilifu! Kwani Lukuvi ni msafi? How far are we sure katika kundi la wezi CCM? (anyway, kwa vile has never been implicated, let us take it for granted that he is clean! Kumbuka Mkapa alibatizwa Mr. clean,

lakini alipopata madaraka ambayo hayahojiwi , akawa mwizi wa Kiwira na kuuza nyumba za serikali kwa maswahiba wake kwa bei ya kutupa!). Angalau vyama vya juzi juzi (kama ulivyoviita) vinataka kuwepo na tight control ya unlimited madaraka ya Rais, wabunge, mawaziri and the like. CCM hilo hawalitaki kuwazibia nafasi za kuiba! Nafarijika na nia hiyo!
 
maswitule kaka nakupinga kidogo, Lowassa hayupo kwenye list ya politician wasomi, ila prof Muhongo ni jembe because alifanya mengi alipokua waziri toka aondoke hayajaendelezwa tena.
Sijasema si msomi ila ni msomi asiyefaa kuwa mwanasiasa eti. Unajua issue ya Isac Newton alipoteuliwa kuwa Mbunge mchango wake pekee ulikuwa ni ule wa kuomba speaker awaambie wahudumu wafungue madirisha maana kwenye ukumbi kulikuwa na joto kali huyo ndiye Mhongo
 
Mbona tuko wote , CCM ni chama kongwe kina kila aina ya uchafu. tatizo ni kuwa tuliowakabidhi madaraka tena makubwa ndio wezi. tatizo liko hapo. Tibaijuka alikuwa na madaraka makubwa, akawa sio mwadilifu! Kwani Lukuvi ni msafi? How far are we sure katika kundi la wezi CCM? (anyway, kwa vile has never been implicated, let us take it for granted that he is clean! Kumbuka Mkapa alibatizwa Mr. clean, lakini alipopata madaraka ambayo hayahojiwi , akawa mwizi wa Kiwira na kuuza nyumba za serikali kwa maswahiba wake kwa bei ya kutupa!). Angalau vyama vya juzi juzi (kama ulivyoviita) vinataka kuwepo na tight control ya unlimited madaraka ya Rais, wabunge, mawaziri and the like. CCM hilo hawalitaki kuwazibia nafasi za kuiba! Nafarijika na nia hiyo!

Nafarijika sana ninapo ona wtz wanzangu wanachukia uharibifu wa nchi yetu.
Lakini napata shaka sana na watu tunao watumaini kutuondolea dhiki hizi zinazo tukabili ikiwemo rushwa ufisadi nk.
Kama mfano wako kwa mzee mkapa hapa ndio nasita kuamini hao tunao taka kuwaamini.
 
Back
Top Bottom