elly jimu nziku
New Member
- Jul 11, 2015
- 4
- 0
lukuvi wanyooshe hao, wanaitesa sana serikali wakati wa mafuriko.
lukuvi wanyooshe hao, wanaitesa sana serikali wakati wa mafuriko.
ytajengaje maeneo ya wazi?Wewe utakuwa kula kulala. Huna hata kipande cha ardhi hapa duniani.
nakubaliana na wewe, bomoa bomoa iendelee kwani kuikatiza itaonyesha upendeleo kwa waliobomolewa wa kwanza, si kila mwanachi lazima awe na nyumba au kuvunja sheria kwa kuendekeza kuwa na nyumba, basi kawa walilijua hili kuwa sehemu sio salama wangejenga kwa bati ili ikifika wakati wa kuondoka wazifungue taratibu, nyumba hazina vioo, hazina mifereji, hatutaki kipindupindu hapa.Bomoabomoa hili zoezi lazima liendelee na kumalizika kwa wakati muafaka ccm mlidanganya watu wsjenge popote kwa ajiri yamatumbo yenu lazima zoezi liendelee.
Swissme