Luku ya Mpesa iliyogoma kuingia

Luku ya Mpesa iliyogoma kuingia

keizerjohn

Senior Member
Joined
May 12, 2013
Posts
113
Reaction score
14
Wadau habari,
Nilinunua Luku ya Tsh kwa Mpesa ya Tsh10,000 sikupata tokeni siku hiyo. Ili kujinusuru na Giza nikanunua kwa Airtel Money nikapata ndani ya nusu dakika. Nikajikomboa na Giza kwa siku hiyo. Niliwasiliana na huduma kwa wateja Mpesa wakaniambia niwe na subira. Baada ya siku nne ndio nikapata tokeni zangu nilizonunua kwa Mpesa.
Sasa ishu ni kwamba, nimeingiza token hizo lakini haziongezi salio. Nimewatafuta tena Mpesa huduma kwa wateja hawapokei.
Sasa Wadau naomba ushauri kama mmewahi kutokewa na kitu hiki, je tunatatiaje tatizo holi. Maana units 26.80 hazitaki kucharge.
Naomba ushauri wenu
 
Wadau habari,
Nilinunua Luku ya Tsh kwa Mpesa ya Tsh10,000 sikupata tokeni siku hiyo. Ili kujinusuru na Giza nikanunua kwa Airtel Money nikapata ndani ya nusu dakika. Nikajikomboa na Giza kwa siku hiyo. Niliwasiliana na huduma kwa wateja Mpesa wakaniambia niwe na subira. Baada ya siku nne ndio nikapata tokeni zangu nilizonunua kwa Mpesa.
Sasa ishu ni kwamba, nimeingiza token hizo lakini haziongezi salio. Nimewatafuta tena Mpesa huduma kwa wateja hawapokei.
Sasa Wadau naomba ushauri kama mmewahi kutokewa na kitu hiki, je tunatatiaje tatizo holi. Maana units 26.80 hazitaki kucharge.
Naomba ushauri wenu

je namba ya mita ya luku umeingza sahihi? km upo facebook like page yao omba msada kwa inbox mi mara kibao wananirudshia token tena kwa wakati haswa sms imefutika..,mda c mref nlikuwa na tatizo la mpesa nlitmiwa ikagoma kufika kwangu pia wamenipatia through facebook,try,na wanajibu kwa wakati!
 
Oh asante sana Dada,
Namba ni sahihi kabisa na nimerudia mara kadhaa.
Nashkuru kwa ushauri, Facebook ninayo, ngoja nilifanyie kazi.
Ubarikiwe
 
Wadau habari,
Nilinunua Luku ya Tsh kwa Mpesa ya Tsh10,000 sikupata tokeni siku hiyo. Ili kujinusuru na Giza nikanunua kwa Airtel Money nikapata ndani ya nusu dakika. Nikajikomboa na Giza kwa siku hiyo. Niliwasiliana na huduma kwa wateja Mpesa wakaniambia niwe na subira. Baada ya siku nne ndio nikapata tokeni zangu nilizonunua kwa Mpesa.
Sasa ishu ni kwamba, nimeingiza token hizo lakini haziongezi salio. Nimewatafuta tena Mpesa huduma kwa wateja hawapokei.
Sasa Wadau naomba ushauri kama mmewahi kutokewa na kitu hiki, je tunatatiaje tatizo holi. Maana units 26.80 hazitaki kucharge.
Naomba ushauri wenu
piga huduma kwa wateja 0768985100 au 0222194400 utapata msaada wote wa matatizo yako ya umeme
 
Back
Top Bottom