Wana jamii forum nimemkuta mpenzi wangu na dawa imeandikwa lukomolo. Mm nimehisi ni dawa ya limbwata nikimuuliza anakataa katakata anasema ni dawa ya chango la tumbo. Wandugu ambao wanaufaham wa hizi dawa za asili tunaomba ufafanuzi na je mnashauri nn kuhusu tukio kama hili. Mama mm nimeamua kuachana nae kabsa nimemwogopa sana imani yangu inanipa anaweza harib mipango yangu ya maisha