PostGE2025 Luhaga Mpina: Sitaweza kukutana na Tume ya Rais Samia Suluhu ya Kuchunguza Matukio ya Uchaguzi Mkuu Tanzania 2025

PostGE2025 Luhaga Mpina: Sitaweza kukutana na Tume ya Rais Samia Suluhu ya Kuchunguza Matukio ya Uchaguzi Mkuu Tanzania 2025

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
26,654
Reaction score
59,077
Salaam Wakuu,

Hapa chini ni barua ya aliyekuwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha ACT WAZALENDO, ndugu Luhaga Mpina kwenda kwa Onorius Njole Katibu wa tume ya Samia.

=======

Luhaga Joelson Mpina
30 Januari, 2026
NDG. ONORIUS .J.NJOLE
KATIBU WA TUME,

TUME YA KUCHUNGUZA MATUKIO WAKATI NA BAADA YA UCHAGUZI MKUU WA OKTOBA OKTOBA 2025
S.L.P 471 DAR ES SALAAM

YAH: WITO WA KUKUTANA NA TUME YA RAIS YA KUCHUNGUZA MATUKIO YA WAKATI NA BAADA YA UCHAGUZI MKUU WA OKTOBA 2025

Tafadhali husika na somo tajwa hapo juu.

2. Nakiri kupokea barua yako yenye Kumb.NaaSAE.351/527/01 ya tarehe 21 Januari, 2026 ikinitaka kufika kukutana Tume tarehe 31 Januari 2026 kuanzia saa 8: mchana hadi saa 9:00 alasiri katika Ukumbi wa Manyara Benki Kuu- Dar es Salaam.

3. Utakumbuka kuwa Mnamo tarehe 18 Novemba 2025 Chama changu cha ACT Wazalendo kilitoa Taarifa kwa Umma kuwa kinapinga na kinakataa kabisa Tume iliyotangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuchunguza matukio ya tarehe 29 Oktoba 2025 na siku zilizofuata.

4. Chama cha ACT Wazalendo kiliweka wazi kwamba hakitashiriki kwa namna yoyote ile katika uchunguzi utakaofanywa na Tume hii. Hatutatoa ushahidi wala kutoa ushirikiano wowote kwani tunatambua kuwa ni chombo kisicho huru na kitakachotegemea maagizo ya Serikalia

5. Na hata nilipozungumza na vyombo vya habari tarehe 6 Disemba 2025 ambapo niliunga mkono msimamo wa Chama kuwa Tume hiyo siyo huru na imeundwa bila kuzingatia kanuni na taratibu za usuluhishi wa migogoro (Conflict Resolution Strategies and Guidelines)

5. Hivyo basi kwa Heshima kubwa nakujulisha kuwa sitaweza kuhudhuria wito huo kwa ajili ya majadiliano.

Pamoja na barua hii nimeambatisha nakala ya Tamko Ia Chama cha ACT Wazalendo.

Ninakushuruku kwa ushirikiano.

Luhaga Joel Mpina
 

Attachments

Maxence Melo kuna nini kinafanya JF waendelee kuifungia.

Jana nilitumia desktop ikafunguka, but it lasted for seconds, ikafungwa!

Ukiwauliza wanakupa jibu gani?
Alishasema haya ndio maisha mapya kwa wakazi wa Tanzania , njia hiyo hiyo unayotumia kuingia humu endelea nayo .

Hebu ona hawa vilaza wa hii ofisi, mtandao walifungia na bado wanatumia tena kupost taarifa watu waone unajiuliza wanapost akina nani waone kama walifungia?

Ofisi kama hii inatumia VPN , ni ajabu sana usikute hata watumishi wa hiyo ofisi ukikagua broswing history yao utakuta nao wanashinda kwenye mtandao uliofungiwa.

Hapo wanasema wamefungia mtandao halafu wanapost kupitia VPN kwa kutumia server ya Netherlands
Screenshot_20260129_080515_X.jpg
 
Salaam Wakuu,

Hapa chini ni barua ya aliyekuwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha ACT WAZALENDO, ndugu Luhaga Mpina kwenda kwa Onorius Njole Katibu wa tume ya Samia.

=======

Luhaga Joelson Mpina
30 Januari, 2026
NDG. ONORIUS .J.NJOLE
KATIBU WA TUME,

TUME YA KUCHUNGUZA MATUKIO WAKATI NA BAADA YA UCHAGUZI MKUU WA OKTOBA OKTOBA 2025
S.L.P 471 DAR ES SALAAM

YAH: WITO WA KUKUTANA NA TUME YA RAIS YA KUCHUNGUZA MATUKIO YA WAKATI NA BAADA YA UCHAGUZI MKUU WA OKTOBA 2025

Tafadhali husika na somo tajwa hapo juu.

2. Nakiri kupokea barua yako yenye Kumb.NaaSAE.351/527/01 ya tarehe 21 Januari, 2026 ikinitaka kufika kukutana Tume tarehe 31 Januari 2026 kuanzia saa 8: mchana hadi saa 9:00 alasiri katika Ukumbi wa Manyara Benki Kuu- Dar es Salaam.

3. Utakumbuka kuwa Mnamo tarehe 18 Novemba 2025 Chama changu cha ACT Wazalendo kilitoa Taarifa kwa Umma kuwa kinapinga na kinakataa kabisa Tume iliyotangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuchunguza matukio ya tarehe 29 Oktoba 2025 na siku zilizofuata.

4. Chama cha ACT Wazalendo kiliweka wazi kwamba hakitashiriki kwa namna yoyote ile katika uchunguzi utakaofanywa na Tume hii. Hatutatoa ushahidi wala kutoa ushirikiano wowote kwani tunatambua kuwa ni chombo kisicho huru na kitakachotegemea maagizo ya Serikalia

5. Na hata nilipozungumza na vyombo vya habari tarehe 6 Disemba 2025 ambapo niliunga mkono msimamo wa Chama kuwa Tume hiyo siyo huru na imeundwa bila kuzingatia kanuni na taratibu za usuluhishi wa migogoro (Conflict Resolution Strategies and Guidelines)

5. Hivyo basi kwa Heshima kubwa nakujulisha kuwa sitaweza kuhudhuria wito huo kwa ajili ya majadiliano.

Pamoja na barua hii nimeambatisha nakala ya Tamko Ia Chama cha ACT Wazalendo.

Ninakushuruku kwa ushirikiano.

Luhaga Joel Mpina
Hii tume kwanini wasiwahoji BBC, CNN, Al Jazeera na yule aliyekamatwa na bilioni tano kuandaa na kuhamasisha maandano kabla na baada ya uchaguzi?
 
Salaam Wakuu,

Hapa chini ni barua ya aliyekuwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha ACT WAZALENDO, ndugu Luhaga Mpina kwenda kwa Onorius Njole Katibu wa tume ya Samia.

=======

Luhaga Joelson Mpina
30 Januari, 2026
NDG. ONORIUS .J.NJOLE
KATIBU WA TUME,

TUME YA KUCHUNGUZA MATUKIO WAKATI NA BAADA YA UCHAGUZI MKUU WA OKTOBA OKTOBA 2025
S.L.P 471 DAR ES SALAAM

YAH: WITO WA KUKUTANA NA TUME YA RAIS YA KUCHUNGUZA MATUKIO YA WAKATI NA BAADA YA UCHAGUZI MKUU WA OKTOBA 2025

Tafadhali husika na somo tajwa hapo juu.

2. Nakiri kupokea barua yako yenye Kumb.NaaSAE.351/527/01 ya tarehe 21 Januari, 2026 ikinitaka kufika kukutana Tume tarehe 31 Januari 2026 kuanzia saa 8: mchana hadi saa 9:00 alasiri katika Ukumbi wa Manyara Benki Kuu- Dar es Salaam.

3. Utakumbuka kuwa Mnamo tarehe 18 Novemba 2025 Chama changu cha ACT Wazalendo kilitoa Taarifa kwa Umma kuwa kinapinga na kinakataa kabisa Tume iliyotangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuchunguza matukio ya tarehe 29 Oktoba 2025 na siku zilizofuata.

4. Chama cha ACT Wazalendo kiliweka wazi kwamba hakitashiriki kwa namna yoyote ile katika uchunguzi utakaofanywa na Tume hii. Hatutatoa ushahidi wala kutoa ushirikiano wowote kwani tunatambua kuwa ni chombo kisicho huru na kitakachotegemea maagizo ya Serikalia

5. Na hata nilipozungumza na vyombo vya habari tarehe 6 Disemba 2025 ambapo niliunga mkono msimamo wa Chama kuwa Tume hiyo siyo huru na imeundwa bila kuzingatia kanuni na taratibu za usuluhishi wa migogoro (Conflict Resolution Strategies and Guidelines)

5. Hivyo basi kwa Heshima kubwa nakujulisha kuwa sitaweza kuhudhuria wito huo kwa ajili ya majadiliano.

Pamoja na barua hii nimeambatisha nakala ya Tamko Ia Chama cha ACT Wazalendo.

Ninakushuruku kwa ushirikiano.

Luhaga Joel Mpina
Kitendo Cha kushindwa kujua msimamo wa wananchi juu ya uchaguzi kilimpoteza JUMLA
Akashirikiana na chama kisicho na msimamo dhabiti
 
Salaam Wakuu,

Hapa chini ni barua ya aliyekuwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha ACT WAZALENDO, ndugu Luhaga Mpina kwenda kwa Onorius Njole Katibu wa tume ya Samia.

=======

Luhaga Joelson Mpina
30 Januari, 2026
NDG. ONORIUS .J.NJOLE
KATIBU WA TUME,

TUME YA KUCHUNGUZA MATUKIO WAKATI NA BAADA YA UCHAGUZI MKUU WA OKTOBA OKTOBA 2025
S.L.P 471 DAR ES SALAAM

YAH: WITO WA KUKUTANA NA TUME YA RAIS YA KUCHUNGUZA MATUKIO YA WAKATI NA BAADA YA UCHAGUZI MKUU WA OKTOBA 2025

Tafadhali husika na somo tajwa hapo juu.

2. Nakiri kupokea barua yako yenye Kumb.NaaSAE.351/527/01 ya tarehe 21 Januari, 2026 ikinitaka kufika kukutana Tume tarehe 31 Januari 2026 kuanzia saa 8: mchana hadi saa 9:00 alasiri katika Ukumbi wa Manyara Benki Kuu- Dar es Salaam.

3. Utakumbuka kuwa Mnamo tarehe 18 Novemba 2025 Chama changu cha ACT Wazalendo kilitoa Taarifa kwa Umma kuwa kinapinga na kinakataa kabisa Tume iliyotangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuchunguza matukio ya tarehe 29 Oktoba 2025 na siku zilizofuata.

4. Chama cha ACT Wazalendo kiliweka wazi kwamba hakitashiriki kwa namna yoyote ile katika uchunguzi utakaofanywa na Tume hii. Hatutatoa ushahidi wala kutoa ushirikiano wowote kwani tunatambua kuwa ni chombo kisicho huru na kitakachotegemea maagizo ya Serikalia

5. Na hata nilipozungumza na vyombo vya habari tarehe 6 Disemba 2025 ambapo niliunga mkono msimamo wa Chama kuwa Tume hiyo siyo huru na imeundwa bila kuzingatia kanuni na taratibu za usuluhishi wa migogoro (Conflict Resolution Strategies and Guidelines)

5. Hivyo basi kwa Heshima kubwa nakujulisha kuwa sitaweza kuhudhuria wito huo kwa ajili ya majadiliano.

Pamoja na barua hii nimeambatisha nakala ya Tamko Ia Chama cha ACT Wazalendo.

Ninakushuruku kwa ushirikiano.

Luhaga Joel Mpina
Hii ndiyo misimamo inayotokana na kuwa na kanuni..
 
Misimamo ni kitu muhimu sana. Mh. Mpina sio mtu wa kuongozwa au kufuata mihemko. Ana nidhamu katika masuala yote yanayo husu jamii yetu. sio mtu wa kuyumbishwa kama tunavyoona wengine katika jamii.
Muda utasema
 
Back
Top Bottom