Luhaga Mpina ndiye Waziri Mkuu ajaye

Luhaga Mpina ndiye Waziri Mkuu ajaye

WaTanzania sio wajinga, mteteeni mnavyoweza ila 2025 harudi. Kukatwa jina ujumbe NEC taifa na mkoa ni introduction. Labda ahame chama ila CCM hawawezi mpitisha
Jimbo litapotea lile, Wasukuma miaka hii siyo wale.. hawataki ubazazi tena.
 
Waziri mkuu anapigiwa Kura? Au huijui katiba ya JMT! Huwa hamuwazi kabla ya kuandika?
 
Mtaje (kwa kunukuu maneno yake) aliyeandika kuwa Waziri Mkuu anapigiwa kura! Ulitoroka Mirembe wewe?
Una matatizo badala ya kujibu hoja unamfananisha mtoa Mada na Kichaa!
Unapotanguliza pre-amble kwamba X Ni waziri Mkuu ajaye it's likely unampigia debe au inaonesha how best he fits that position ili kwenye uchaguzi apewe kura za kushika Hiyo nafasi!

Swali langu Ni je kwa muktadha wa kusema ndiye ajaye wewe ndiye unayemteua? Au kwa sifa ukizompa tutampigia kura ili ashike Hiyo position?
#Sukuma Gang
 
Back
Top Bottom