Luhaga Mpina ndiye Waziri Mkuu ajaye

Luhaga Mpina ndiye Waziri Mkuu ajaye

Sijui lakini! Inategemea uhusiano wake na Mzee wa Msoga (Mwenye Nchi) ukoje.
Akija na Misimamo ya the late anaweza asifikiriwe kwa postion hiyo.
 
du binadamu kaumbiwa kusahau! mnataka turudi kule, tulishatoka huko watu wakatili wa nini?
 
Sasa hivi hayo mataifa uliyotaja yana haki gani kiuchumi? Kuna takataka umeiweka humo ndani naomba uitoe![emoji16][emoji16][emoji16]
Hamjui historia ya nchi yenu wenyewe, mnajuwa historia za mataifa ya kigeni. Huu ni uzandiki!

Sijui umekuja kuishi duniani lini! Inawezekana umechelewa kuja kuishi duniani ndiyo maana hujui ngano na historia ya taifa.

Una habari enzi ya Mwl (tena Political Economist) chini ya operesheni ya uhujumu uchumi 1984 iliyosimamiwa na Mhe. Sokoine Waziri Mkuu wafanyabiashara walikuwa wanabeba pesa kwa tipper kwenda kumwaga mtoni na ziwani? Wavuvi wakaacha kuvua samaki wanavua noti, samaki wakaadimika.

Ikabidi noti zibadilishwe kuokoa anguko la uchumi linalotokana na thamani ya sarafu kushuka na mfumuko wa bei kupaa kufuatia fedha kuzagaa mikononi mwa walaji.

Ni mchumi yupi ambaye utendaji wake unalazimu watu kutupa pesa (watu wanaziogopa pesa!?)

Mwaka 1967 wakati wa Azimio la Arusha Waziri Mkuu Mhe. Kawawa chini ya Mwl aliendesha operesheni ya kufunga biashara (maduka) nchi nzima ndani ya siku 7 ili yafunguliwe maduka ya serikali na biashara za serikali.

Hayo yangefanyika leo mngesemaje? Lakini tumebaki kuwasifia na kuwaenzi Mwl, Sokoine na Kawawa (tunasahau hayo madhila) huku tukimponda Magufuli, Baghosha!
 
Mhe. Luhaga Joelson Mpina MB, anafaa kuchukuwa nafasi ya Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa MB na Waziri Mkuu wa JMT; kwenye cabinet ijayo 2025.

Mhe. Mpina amedhihirisha kiwango cha juu cha uzalendo kwa taifa, ujasiri, ari, nidhamu ya kutolea mfano, weledi, kazi za matokeo makubwa nk.

Anafaa kuisimamisha serikali ya 2025 - 2035 kwenye nafasi ya utendaji ya PM.


Hamna kitu..... Hata Polepole, Kabudi, na Bashiru walikua na uwezo kuliko Mpina ila walipopewa vitengo wote mliona walivyo underperform.

Tatizo ukiwa CCM lazima uwe mnafiki Ili ulinde cheo.
 
Namshangaa.

Kwani nchi hii ilikuwa haiibiwi samaki baharini? Mbona hiyo wapaa samaki hawalioni?

Luhaga alipiga marufuku vibua vya janga la vinu vya nyuklia vilivyolipuka Japan. Mbona hiyo wapaa samaki hawalioni?

Luhaga alizuia sato wa kichina waliokuzwa kwa wiki 2 Zambia badala ya miezi 6. Mbona hiyo wapaa samaki hawalioni?

Baghosha!
WaTanzania sio wajinga, mteteeni mnavyoweza ila 2025 harudi. Kukatwa jina ujumbe NEC taifa na mkoa ni introduction. Labda ahame chama ila CCM hawawezi mpitisha
 
Utakapoona mlango wa choo amka mara moja la sivyo utajinyea. Ndoto za mchana hizo
Duniani kuna species 21 za binadamu. Mawazo yako yanadhihirisha haumo kwenye species yoyote. Huenda umezaliwa kwa kuchanganya mbegu za sokwe na binadamu (so your dad is chimpanzee)[emoji2956][emoji16][emoji23][emoji38][emoji1787]
 
Ni maeneo gani mahususi ambayo umeona anafaa kuwa PM ungetusaidia uelewa, je historia yake alipokuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Uchumi, Viwanda na Biashara enzi za utawala wa JK alifanya nini au alileta mageuzi gani? alipokuwa Naibu Waziri wa Mazingira enzi ya utawala wa awamu ya tano alifanya nini au alileta mageuzi gani? na Je alipokuwa Waziri wa Mifugo alifanya nini kilichoonekana kwa maslahi ya Taifa au alileta mageuzi gani yakuonekana ili tuamini uchambuzi wako
Enzi hizo za JK biashara zilikuwa zinakufa? Kama zilikuwa zinashamiri ni kwa sababu ya Kamati ya Bunge aliyoiongoza ilifanya kazi yenye tija kwa taifa.

Kwenye Mazingira alikampeni utunzaji mazingira, upandaji miti kuliko Mhe. Mwezi wa kwanza aliyeshindwa hata kutokomeza mifuko ya plastiki.

Kwenye Mifugo na Uvuvi alijenga viwanda vya nyama Dar, Pwani na Manyara.

Alipiga marufuku samaki-maji-chumvi aina ya vibua vilivyohisiwa kuwa na mionzi ya vinu vya nyuklia vilivyolipuka Japan. Tz ilikuwa ni soko kubwa la vibua.

Alilinda usalama wa taifa kwa kuzuia samaki sato wa Kichina waliokuwa wanafugwa na kuvunwa kwa siku 14 badala ya miezi 6 huko Zambia na Wachina ili kuleta JMT.

Alishirikiana na Mhe. Lukuvi kutenga maeneo ya wafugaji na kufanikiwa kutokomeza vita ya wenyewe kwa wenyewe baina ya wafugaji na wakulima ambavyo vimedumu na nchi kwa miaka 25.

Kwa kushirikiana na wizara za kisekta aliondoa wafugaji toka kwny vyanzo vya maji ikiwemo Ihefu.

Alikampeni kuongeza kiwango cha Mtz kunywa maziwa kwa wastani wa 47 litres per capita per year na kuifanya Tz ya 3 EAC kwa matumizi ya maziwa baada ya Uganda (lita 62) na Kenya (lita 110).

Anatoka kabila moja ambalo pekee ni zaidi ya 18% ya watu wa nchi kati ya makabila 128; na ambalo lina asili yake kwenye mikoa 6 ya nchi, na sasa limesambaa mikoa yote bara kutafuta malisho. Mhe. Luhaga akiwa Waziri Mkuu atasaidia ku-neutralize nguvu za kabila hili kubwa kuliko makabila yote barani Afrika.

Mhe. Luhaga Joelson Mpina MB anafaa Uwaziri Mkuu JMT 2025 - 2035.
 
Nani alikuambia sifa ya kuwa waziri mkuu ni uzalendo peke yake?
Nenda kabadilishe lensi ya miwani yako ndiyo urudi jamvini mkuu. Vinginevyo una ugonjwa wa uvivu wa kusoma vitabu na makala ndefu (umezoea kusoma abstract/dibaji)
 
Duniani kuna species 21 za binadamu. Mawazo yako yanadhihirisha haumo kwenye species yoyote. Huenda umezaliwa kwa kuchanganya mbegu za sokwe na binadamu (so your dad is chimpanzee)[emoji2956][emoji16][emoji23][emoji38][emoji1787]
Ila wewe Filosofia ya Rorya ni MSUKULE kamili. Magufuli alipokufa aliondoka na akili zenu. Endeleeni kumuabudu marehemu
 
Back
Top Bottom