Lugumi asema kama kuna mtu anaetangaza mgogoro aende mahakamani

sirjohn

JF-Expert Member
Aug 6, 2014
767
677
Kampuni ya Lugumi imesema kama kuna mtu anaona kuna shida kati ya mradi wake na Jeshi la Polisi aende Mahakamani..

Wanasheria pitieni andiko la Lugumi mtwambie kama kuna mgogoro ili twende mahakani.

Pia anasema yuko nchini wala hana mpango wa kutoroka maana ile dili ni safi.
 

Attachments

  • IMG-20160421-WA0002.jpg
    IMG-20160421-WA0002.jpg
    104.1 KB · Views: 54
  • IMG-20160421-WA0001.jpg
    IMG-20160421-WA0001.jpg
    117.5 KB · Views: 61
Back
Top Bottom