Juuchini
JF-Expert Member
- Dec 10, 2018
- 1,300
- 1,659
Hakuna kitu Kama hichowana vifaa vinapenya hadi kwenye Virtual Private Network mkuu - ha ha ha
China wenyewe hawana sembuse sisi?
Hakuna kitu Kama hichowana vifaa vinapenya hadi kwenye Virtual Private Network mkuu - ha ha ha
Kweli, End to End Encryption ni ngumu sana kuidukua katikati ya safari.Hakuna kitu Kama hicho
China wenyewe hawana sembuse sisi?
Mi huyu watu wanasema chini chini tofauti na Jakaya hakukuwa na sheria za mitandao, hafu ona hata matokeo ya uchaguzi asilimia zake so public opinion lazima zitofautiane mno.sio kweli.Huyu wa sasa ndo anaongoza kwa kusemwa..
mpaka wateule wake wanapaniki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi ipo kwenye taharuki. Kila mwenye dhamana ya kupiga mkwara basi anaitumia vyema nafasi yake.
Nyerere aliwahi kuandika kitabu kiitwacho
"Uongozi wetu na hatma ya Tanzania"
'...Sio kwamba siambiwi yanayosemwa, sio kwamba sisikii, Au sio kwamba sina Cha kujibu.... naamua Kuwa kimya kwa Kuwa sioni faida ya kujibu jibu Kila kitu...'-Rais wa Nne wa Tanzania 2005-2015 Jakaya Kikwete
Jakaya alikuwa mvumilivu mno aisee mana watu walichonga mpaka basi inabidi apewe PhD kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna mwanamume mwoga wa hoja kama jiwe. Ni mwoga, ni mwoga kupindukia. Kutokana woga wake wa hoja ndio maana alipiga marufuku mijumuiko ya kisiasa (upande wa upinzani) mara tu alipoingia madarakani. Na ndio maana anatumia nguvu nyingi ya kidola kudhoofisha upinzani ikiwa ni pamoja na projekti maalumu na maarufu ya 'kununua' wabunge na madiwani njaa wa kambi ya upinzani. Hawezi kuhimili nguvu ya hoja.Kama hizi "Routine Challenges and Jabs" ndizo zinamsumbua rais hadi anawatuma akina Lugola kutisha watu basi afadhali asichukue tena fomu kutetea kiti make anaweza akapata "Myocardia Infarction" ya bure kabisa.
Hizi "Jabs" zipo tu duniani kote huwezi kuzikwepa so long as you're there as a leader, hazikwepeki vinginevyo ni kuacha tu urais na kufanya shughuli zako binafsi ambazo ni less stressful. That's the only solution but intimidation and threats, won't do.
Absolutely trueDah waachane na watu bwana eeeh. Hivi matusi kwa Raisi ni yapi maana we are no longer safe
Sent using Jamii Forums mobile app
msiba ni spika tuu,hawawezi mfanya chochotee.Mbona Msiba hachukuliwi hatua ? au yeye anaowatukana na kuwakashifu sio watu
Mkuu post yako hii imepata "likes" za kutosha yaan kama zote Kwa leo.'...Sio kwamba siambiwi yanayosemwa, sio kwamba sisikii, Au sio kwamba sina Cha kujibu.... naamua Kuwa kimya kwa Kuwa sioni faida ya kujibu jibu Kila kitu...'-Rais wa Nne wa Tanzania 2005-2015 Jakaya Kikwete