Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 6,526
- 11,051
Tarime hizo lugha hakuna na mambo yanaenda. Mwambie mambo ya watu wengine wee huwezi kuyaigaHabari za wakati huu, ni wikendi tulivu inayosindikizwa na manyunyu ya mvua tokea viunga vya hapa Kigamboni-Kibada.
Moja kwa moja niende kwenye mada, nimekuwa kwenye mahusiano na mpenzi wangu kwa mwaka na nusu and we're sexually active kwa wakati wote huo!
Kwangu ni mahusiano ya kwanza katika maisha yangu so kuna vitu nakuwa sina ufahamu navyo naishia kuongea naye kama mshikaji tunaepanga mipango ya maisha tu.
Sasa baby kaishiwa ustahmilivu kanifungukia kuwa "tuwe tunaongea lugha ya kimapenzi" but nimeishia kusema ndio ila sijui ni nini na ina maanisha nini.
Wakuu wenye uelewa naombeni msaada kuelimishwa juu ya hili kwa experience zenu huko kwenye mahusiano yenu.