cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,317
- 7,509
Baada ya kupotea humu jamvini kwa miezi kama mitatu leo nakuja na mada ya visasi kwenye mahusiano na athari nilizokumbana nazo.
Kuna mwanaume nilikuwa nampenda sana mpaka basi, nikawa na hisia kali za kimapenzi na yeye, kwamba tukiwa sehemu yenye uficho hata kama si hotelini kosa anisogelee naloa.
Siku moja tukatifuana baada ya kugundua ananicheet kwa hasira nikaanzisha mahusiano na mwanaume mwingine ili na mimi nimkomoe.
Aisee tukienda faragha na jamaa naona ni mateso, sisisimki, siloi, hata azame chumvini hamna kitu anabaki anafanya yeye mwenyewe akimwaga sitamani kurudia, tukakutana kama safari 3 sikuona umuhimu wa kuendelea naye.
Ikabidi nimuombe samahani mume wa awali, na yeye akanisamehe siku nakutana naye hata kabla ya kunigusa naloa.
Hata wanaume akianzisha penzi la hasira kwa mpenzi mpya haenjoy kabisa na mwisho wa siku hurudi nyuma.
Nishauri kama mmekorofishana na mtu wako ambaye unasisimka ukiwa naye bora mwombane msamaha maisha yaendelee.
Mapenzi ya kisasi hayana burudani kabisa.
Kuna mwanaume nilikuwa nampenda sana mpaka basi, nikawa na hisia kali za kimapenzi na yeye, kwamba tukiwa sehemu yenye uficho hata kama si hotelini kosa anisogelee naloa.
Siku moja tukatifuana baada ya kugundua ananicheet kwa hasira nikaanzisha mahusiano na mwanaume mwingine ili na mimi nimkomoe.
Aisee tukienda faragha na jamaa naona ni mateso, sisisimki, siloi, hata azame chumvini hamna kitu anabaki anafanya yeye mwenyewe akimwaga sitamani kurudia, tukakutana kama safari 3 sikuona umuhimu wa kuendelea naye.
Ikabidi nimuombe samahani mume wa awali, na yeye akanisamehe siku nakutana naye hata kabla ya kunigusa naloa.
Hata wanaume akianzisha penzi la hasira kwa mpenzi mpya haenjoy kabisa na mwisho wa siku hurudi nyuma.
Nishauri kama mmekorofishana na mtu wako ambaye unasisimka ukiwa naye bora mwombane msamaha maisha yaendelee.
Mapenzi ya kisasi hayana burudani kabisa.