HP1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2012
- 3,362
- 874
Chawadika na Athuman Nyawanda walienda miembe mitano mtoni kuogelea. Chini ya mti wa msangala alikuwapo mzungu akila mafenesi. Ghafla Athuman akakamatwa na mamba na kumezwa. Chawadika akatoka mbio kwenda kuripoti kwa bosi wake.
bosi: where is Athuman?
Chawadika: yes yes yes mzungu kala mafenesi, look at chini ya msangala because miembe gwala kaja mamba kamsola na miguu yote finished
bosi:whaaat?
bosi: where is Athuman?
Chawadika: yes yes yes mzungu kala mafenesi, look at chini ya msangala because miembe gwala kaja mamba kamsola na miguu yote finished
bosi:whaaat?