Habari wakuu
Kwa mwenye ufahamu wa ada halisi ya Lugalo atuambie maana nimepata joining yao inaonesha ada ni zaidi ya milioni 2 kwa mwaka,halafu kwenye guide book ada ni 1,130,400 sasa najjuliza ipi sahihi maana kama ni kweli hiki chuo kina ada ya zaidi ya 2milioni basi haina haja kukiita cha serikali maana hakina unafuu kwa hali ya watu wa chini.
Anayejua zaidi hasa anayesoma hapo atuambie vizuri
Kwa mwenye ufahamu wa ada halisi ya Lugalo atuambie maana nimepata joining yao inaonesha ada ni zaidi ya milioni 2 kwa mwaka,halafu kwenye guide book ada ni 1,130,400 sasa najjuliza ipi sahihi maana kama ni kweli hiki chuo kina ada ya zaidi ya 2milioni basi haina haja kukiita cha serikali maana hakina unafuu kwa hali ya watu wa chini.
Anayejua zaidi hasa anayesoma hapo atuambie vizuri