Ludovick apelekwa mahakamani kimya kimya

Ludovick apelekwa mahakamani kimya kimya

Haki sawa

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2007
Posts
4,781
Reaction score
3,211
Kwa taarifa za hivi punde ni kuwa kijana Ludovick amechukuliwa kutoka gerezani alikopelekwa juzi Segerea na hivi sasa amepelekwa mahakama kuu , kufanya nini, bado nawashauri mfuatilie ila kuna taarifa za awali kuwa wanaweza kwenda kusoma Nolle na kumtoa nje ya kesi bila jasho .

Naendelea kufuatilia , mlioko pande za mahakama kuu .....julisheni JF.

UPDATES .

Amepelekwa mahakama ya Kisutu na amepewa kibali rasmi sasa cha kwenda kuhojiwa na polisi , baada ya kumrejesha juzi magereza kutokana na kushikiliwa na polisi kinyemela sasa ameombewa kibali rasmi na mahakama imeruhusu hilo , jambo ambalo ni kinyume na utaratibu kwani kama ameshafikishwa mahakamani yeye kama angekuwa na wakili angekataa kuhojiwa na kusema kuwa mengine atayasema mahakamani .

Sasaameshaondoka na Polisi rasmi na atakuwa kwenye mahabusu za polisi , tutaendelea kujulishana
 
Kwa taarifa za hivi punde ni kuwa kijana Ludovick amechukuliwa kutoka gerezani alikopelekwa juzi Segerea na hivi sasa amepelekwa mahakama kuu , kufanya nini, bado nawashauri mfuatilie ila kuna taarifa za awali kuwa wanaweza kwenda kusoma Nolle na kumtoa nje ya kesi bila jasho .

Naendelea kufuatilia , mlioko pande za mahakama kuu .....julisheni JF.

who is he anyway?
 
Vipi kuna siri gani hapo? Kwanini wampeleke kimya kimya?
Na kesi ya Lwakatare imefikia wapi?
 
kwani mtuhumiwa anapelekwa mahakkamani kwa kelele?
 
Kwa taarifa za hivi punde ni kuwa kijana Ludovick amechukuliwa kutoka gerezani alikopelekwa juzi Segerea na hivi sasa amepelekwa mahakama kuu , kufanya nini, bado nawashauri mfuatilie ila kuna taarifa za awali kuwa wanaweza kwenda kusoma Nolle na kumtoa nje ya kesi bila jasho .
kesi iliyoahirishwa mpaka tarehe 3 april ni ya Lwakatare peke yake.SAWA

je, Ludovick aliendelea kushikiliwa kwa mashtaka yapi?
 
ugaidi ni hatari sana kwa taifa letu. ludovick is not a good guy.
 
Mkuu mawazo yako ni mazuri sana lakini kuna shida katika Avatar yako. Bila shaka utakuwa unawakwaza baadhi ya wakuu wanaosoma posts zako. Tafadhali Mkuu jaribu kufanya marejeo mapya katika hiyo Avatar.
Avatar haiwezi kumzuia mtu kutoa mawazo. Usiingize udini katika kutoa mawazo. Weye utakuwa M-ccm (wadini mliokubuhu maana mlianza kwa kumwandama Mrema na NCCR-MAGEUZI yake, mkaja kwa Lipumba na CUF yake leo mmeshindwa kwa CHADEMA, sasa mnamgeukia mtu mmoja mmoja. Shame up on you!)
 
Avatar haiwezi kumzuia mtu kutoa mawazo. Usiingize udini katika kutoa mawazo. Weye utakuwa M-ccm (wadini mliokubuhu maana mlianza kwa kumwandama Mrema na NCCR-MAGEUZI yake, mkaja kwa Lipumba na CUF yake leo mmeshindwa kwa CHADEMA, sasa mnamgeukia mtu mmoja mmoja. Shame up on you!)
yeah wao wanaita devide and rule policy!!
 
Avatar haiwezi kumzuia mtu kutoa mawazo. Usiingize udini katika kutoa mawazo. Weye utakuwa M-ccm (wadini mliokubuhu maana mlianza kwa kumwandama Mrema na NCCR-MAGEUZI yake, mkaja kwa Lipumba na CUF yake leo mmeshindwa kwa CHADEMA, sasa mnamgeukia mtu mmoja mmoja. Shame up on you!)

Hivi Mkuu utaendelea kukurupuka hadi lini? Tumia angalau 1% tu ya akili yako maana hapa inaonekana unatumia <0%, ubarikiwe sana.
 
Back
Top Bottom