Jamani jera ni mahala pagumu, mahali dhalili mno, sehemu ya kuhuzunisha sana hata hivyo twamshukuru Mungu kijana mwenzetu kapata dhamana pamoja na kutupwa na viongozi wake wa chadema. Kitendo mlichomfanyia Ludovick si cha kiuungwana wala kibinadamu kabisa. Ni matumaini yangu mateso aliyopitia kwa kipindi chote akiwa huko mahabusu hakitoisha hivihivi kitakuwa na majibu yake kwa waliomsaliti.
Cc Dr Slaa,
Cc Mbowe,
Cc makamanda wote mliotema kamanda mwenzenu.