Getwa Anicet Ally
Member
- Jan 13, 2012
- 46
- 11
Jamani!!? Tuhurumiane.. Haya mambo yatatuangamiza.
Kigogo gani wa serikali huwa anamkamua huyu mwanamke?
Ungemfikisha wapi mkuu?Yes ni kweli atafika mbali!. She has all what it takes kufika mbali!.
Hata ningekuwa mimi ndie ninayefikisha watu mbali, huyu lazima ningemfikisha mbali!.
Aisee!Ni mnyaruanda huyo alikuwa anaji* kuna jamaa anaitwa eddy akamuopoa akamuoa na kumbadilisha dini akawa anaitwa lela akapatiwa pass, wakubwa walivyomuona wakamchukua ndio wakamuingiza kwenye siasa na jamaa akamuacha kaenda zake japan.ni chng doa
Hapo alipo tayari yuko mbali hivyo hata ningekuwa mimi ningemfikisha mbali na kufikisha kote kote!.Ungemfikisha wapi mkuu?
Baba yake in Msukuma wa Bariadi na mama yake ni mkondoa irangi.Kwa umri na elimu yake hapo alipofika tayari ni mbali mno! Halafu mbona kama vile ana sura ya kisukuma? (ya kinyantuzu - to be specific).
Mke wako yupo humu, anasoma hiki ulichoandika!!Yes ni kweli atafika mbali!. She has all what it takes kufika mbali!.
Hata ningekuwa mimi ndie ninayefikisha watu mbali, huyu lazima ningemfikisha mbali!.
Sio wife tuu ni member humu hadi my kids ambao ni above 18 wako 3 na ni members humu. Wengine wawili watakuwa members humu by 2020.Mke wako yupo humu, anasoma hiki ulichoandika!!
Vipi kuhusu shot ya umeme?Ni Kweli Atafika Mbali.
View attachment 497684
View attachment 497685
Bi Harusi mpya Lucy Mayange Kwenye Harusi yake ya nne.........Maskini Huyo kaka, sijui maisha yamempiga kiasi gani mpaka kwenda kuolewa... Unaambiwa Huyo Lucy kampita huyo kijana miaka 19...Huyu Lucy Ana miaka 46 sasa hivi, Yani ni kibibi haswaaaa..... .Unaambiwa kila kitu kanunua yeye bi harusi, Yani kama kajioa yeye mwenyewe. Wabunge wenzie ndo walichanga, Ila suti ya bwana harusi nini alinunua yeye mwenyewe.... Yani kwa kifupi yeye ndo kaoa, unaambiwa mwanaume mwenyewe hampendi huyo Lucy, yani kamuoa kuepuka njaa za Magufuli, unaambiwa kijana mpaka kabadili dini kisa njaaaa aoe mbunge alelewe.....
shoga ulipendeza usoni but hukutakiwa kuvaa nguo ya white ulistahili uvae ya black! Maana umetumika vilivyo
Yani nikiwaza alivyojisifia bungeni Eti yeye sasa ni Mrs. Jamaal inabidi nichekeee , Maana mtu unaweza dhani kaolewa Na tajiri gani sijui kumbe hajaolewa Ila kaoa kiserengeti boy!
We Lucy wewe kwenda kumbemenda mtoto wa mwanamke mwenzio inahusu? Si ungemsaidia tu mtaji wa biashara kaka wa watu akaoe kijana mwenzie?