Lucy Mayenga alivyowaeleza wabunge ukweli

Ha ha ha mkuuu taratibu jamank
 
Aisee kuna sehemu nimesoma habari zake hadi nikaogopa ..nasikia anapenda sana kutoa mtandao pendwa ...kina Maembe..Api &son ,Rost tamu ...wamefumua sana
mbona wewe unaliraruliwa hujisemi, hujui tumekustahi tu mpaka nyumba unayouzia inajulikana
 
Imagine mbunge anasema yeye anawaza biashara tu na ukija kuchunguza biashara yenyewe kumbe ni kuuza mbunye tu kwa vibosile.
mbona na wewe unauza na hatusemi au unafikiri hatujui biashara yako kubwa ni ipi..wake za Mange Kimavi yenu majungu
 
kwa mtu mwenye akili mbovu tu ndie atapenda kumsifia Mange,lakini hatushangai wenzetu wamezoea kutukana,sijui hiyo ndio ilani yao ya kisiasa ?
Sema tu humu unatumia ID fake ila Nina uhakika mange kisha kujeruhi, unavyoongaea kwa hisia
 
Wapo mbweha mle bungeni wanatumwa na matajiri kuwasemea issue zao alaf wanajifanya wazalendo kweli
 
kwahiyo Lowassa kawazidi dau this time??
 
Mkuu sasa maadili angeyatolea wapi ikiwa baba yake aliuawa kwenye fumanizi!si tumzowee tu.
Si vyema kumzungumzia marehemu kwa mabaya aliy
Sio mwehu tu,mimi nadhani kale kadada kana laana
 
..Mh.Lucy Mayenga anafikiri jukumu la wabunge ni kuanzisha biashara na siyo kutunga sheria au kuisimamia serikali.

..Mh ametumikia ubunge zaidi ya miaka 10 sasa!!
Yaani kumbe yeye yupo bungeni anawaza biashara na muda wa kujenga hoja ili aulize swali hana.

Kwanza viti maalum miaka 12!! Acha tu aongee shudu.

Wabunge wanaingia bungeni ku concentrate na mijadala na kujenga hoja. Siyo kuwaza biashara zao binafsi au kuanzisha vikoba.

Eti mbunge anatoka bungeni alafu anakua hana hela.!! SMH...kumbe yeye ameenda bungeni kuvuna hela siyo kuwatumikia wananchi.

Watu wa aina hii wanafanya nini bungeni.

Ccm sijui inafanya vetting kiasi gan hadi mtu huyu kupita miaka 12 yote
 
Hawa ni wale walioko bungeni kusema ndiooooo wako nyuma ya .... no matter what
 
Nasikia hana tabu kabisa huyu mama ukimtaka hana tabu kabisa na kama kitu umepewa bure kwanini uwanyime wenzako?safi sana
 
Hana hata .mtoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…