Lt. Gen Abrahaman Amir Shimbo kustaafu kesho

Moshe Dayan

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2008
Posts
815
Reaction score
710
Mnadhimu mkuu wa jeshi (Chief of staff) Lt. gen Shimbo ataagwa rasmi kesho.

Kamanda huyu anastaafu kwa mujibu wa sheria za jeshi za kutimiza umri wa kustaafu baada ya kuongezewa muda wa kustaafu kipindi cha nyuma japo umri wake wa kustaafu ulishafika.

Shughuli ya kumuaga itafanyika kesho makao makuu ya jeshi, Upanga.

Ikumbukwe, alipata wadhifa wa unadhimu wa jeshi mwaka 2007 ambapo yeye na CDF Davis Mwamunyange walichukua madaraka kutoka kwa general Waitara.

Nitawajuza yatakayojiri kesho kwenye shughuli ya kumuaga huyu chief of staff.

Source: MOSHE DAYAN



 
mkuu umenikumbusha mbali sana huyo fisadi 2010 alizania hatostaafu, na hapa lissu katusaidia angepewa mkataba wa nyongeza na swaiba wake dhaifu... Nakumbuka hivi juu ya huyu jamaa

 

aongezewe muda wa kustaafu kwa miaka mi3 zaidi hadi mwezi kama huu 2015 ili apate kutoa tamko la jeshi juu ya uchaguzi wa 2015. mkuu, abort mission ya kumuaga immediately.
 
actually aliomba tena aongezwe muda wa utumishi lakini umri ushagoma na pia kashfa za ufisadi zimemuharibia sana....,
 
Du sasa aliongezewa muda kwa sababu hakuna wanajeshi waadilifu na wenye taaluma kama ya kwake au ndo tuseme ndo kupendeleana nini
 
namtakia kustaafu kwema....
Ndomqakati wa kwenda kula bata na zile trilion 3 sasa...
Watakukomaje wadar es salamu...
 
Du sasa aliongezewa muda kwa sababu hakuna wanajeshi waadilifu na wenye taaluma kama ya kwake au ndo tuseme ndo kupendeleana nini

Ndo vijimambo vinavyotokea ukichanganya siasa na uswahiba,,,
 
Mzee wa Tril 4 anakwenda kugombea ubunge sasa....maana ana kila sababu ya kugombea ubunge ,pesa,kadi,na wajibu anao....ametumikia sana chama vile vile!na pia ni mwenzao!!

Arudishe pessa ya wandava wenzie na nyingine km alituibia na sie arudishe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…