Lowassa; Watanzania wana akili sana

Lowassa; Watanzania wana akili sana

katafute watoto wenzio wasio jua historia au ****** wenzio wasitaka kusoma uwaongopee?

Uchaguzi gani huo wa ndani ya CCM ?

labda nikukumbushe, Waiatara aliachana na CCM baada ya kurudishwa makao makuu dar, na yeye alipoondoka alisema naondoka awezi kukubali kukaa makao makuu kazi yake kupika iwe kupika na kuandaa chai lumumba.

au soma hapa Kwa yaliyomkuta Nape Nnauye na Mwita Waitara, je nini nafasi ya vijana ndani ya CCM?
Acha uongo 2008 Chacha wangwe alipofariki ulifanyika uchaguzi mdogo na mchakato wa ndani ya CCM waitara aligombea akashindwa na Kangoye
 
Elimu Elimu Elimu. duu na makusanyo gaya tote tumeshindwa kutoa Elimu yote kabisa buree. Tungeweza had I chuo kikuu kweli? Tufamisheni tungefanyaje hili kupata pesa za kulipia hivyo Elimu bure had I chuo kikuu. Trilioni 1.3 kila mwezi jasho linatutoka
 
Back
Top Bottom