Acha uongo 2008 Chacha wangwe alipofariki ulifanyika uchaguzi mdogo na mchakato wa ndani ya CCM waitara aligombea akashindwa na Kangoyekatafute watoto wenzio wasio jua historia au ****** wenzio wasitaka kusoma uwaongopee?
Uchaguzi gani huo wa ndani ya CCM ?
labda nikukumbushe, Waiatara aliachana na CCM baada ya kurudishwa makao makuu dar, na yeye alipoondoka alisema naondoka awezi kukubali kukaa makao makuu kazi yake kupika iwe kupika na kuandaa chai lumumba.
au soma hapa Kwa yaliyomkuta Nape Nnauye na Mwita Waitara, je nini nafasi ya vijana ndani ya CCM?