aspen
JF-Expert Member
- Jul 13, 2011
- 501
- 166
kwa wenye kufahamu ni kitu gani kiliwagombatisha hawa wanasiasa mashuhuri tanzania tukiangalia nyuma walikuwa kambi moja na ndiyo waliyomsaidia kimkakati jk akaukwaa urais sasa iweje leo hawaelewani na kuna uwezekano wa kuwaunganisha wakawa kama zamani mi nadhani itakisaidia ccm kupunguza mpasuko uliopo sasa kwa walioko karibu nao washaurini hakuna lisilowezekana najua uwezekano wa lowassa kuwa rais ni mkubwa sana hi hayo tu