Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,082
- 10,455
Mkuu huwezi amini huyu EL hata kama atasimama kesho kura siwezi mpa ila siasa za CHUKI ndo tuache
Sijaelewa unamaanisha chuki kwa mantiki gani.lakini siamini kama mtu kumwita lowasa ni mtoa rushwa ananunuwa uongozi ni kumchukia . Ni ukweli ulio wazi kabisa.na kila mtu anaona.