Lowassa, unakumbuka kauli hii ya Kikwete?

Lowassa, unakumbuka kauli hii ya Kikwete?

Mtia nia

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2015
Posts
285
Reaction score
83
Akitoa hotuba raisi kikwete alisema maneno haya mkoani kigoma katika sherehe za kuzaliwa ccm namnukuu,

' nitakakisha naiacha nchi yetu chini ya ccm tena kwa rais kijana'

hapo na wewe ulikuwepo

kuna hii nayo ambayo ililetwa hapa jamiiforums ikitaja maneno ya zitto kabwe aliyo ambiwa na rais kikwete mwaka 2011?

Raisi alisema hivi kwa mujibu wa zitto,
namnukuu
' msikubali atakaye nirithi awe na rika kama langu ,kizazi chenu kijiandae '

my take, haya maneno yataonekana Jumapili hii dodoma mh, lowassa jiandae kisaikolojia
 
Mtia nia

video plz...... ili tuthibitishe uongo huu mpevu
 
Last edited by a moderator:
asante kumkumbusha lakini tatizo hata kuelewa maana magumashi yake yamemuakikishia kuwa atapata.
 
Mbona ni Lowassa tu hakuna Membe, hakuna Makongoro hakuna Wassira, hakuna Pinda, hakuna Muhongo. Na nyie Watanzania acheni ushabiki wa kijinga. Mama zenu wamezaa, baba zenu wametunza, walimu wenu wamewafundisha, na viongozi wenu wa dini wamewapa maadili ya kidini. Usiwe na Ushabiki ambao ukiambiwa toa ushahidi huna. Na wana CCM wanataka kutuaminisha kuwa walimtoa huyu jamaa kafara kweli ndo maana wanaogopa akiingia.
 
Mbona ni Lowassa tu hakuna Membe, hakuna Makongoro hakuna Wassira, hakuna Pinda, hakuna Muhongo. Na nyie Watanzania acheni ushabiki wa kijinga. Mama zenu wamezaa, baba zenu wametunza, walimu wenu wamewafundisha, na viongozi wenu wa dini wamewapa maadili ya kidini. Usiwe na Ushabiki ambao ukiambiwa toa ushahidi huna. Na wana CCM wanataka kutuaminisha kuwa walimtoa huyu jamaa kafara kweli ndo maana wanaogopa akiingia.

binafsi nilimuhotaji na sina jinsi kwa sasa,naumia tu
 
Watanzania tumejisahau tusipeleke nguvu zaidi kwenye siasa Chafu hii ndo inayoleta udini,Ukabila, Urangi pia Ukanda. Mbona kuna siasa safi ambayo ni ya kisomi. Msikilizeni Peter MSIGWA.
 
Mbona ni Lowassa tu hakuna Membe, hakuna Makongoro hakuna Wassira, hakuna Pinda, hakuna Muhongo. Na nyie Watanzania acheni ushabiki wa kijinga. Mama zenu wamezaa, baba zenu wametunza, walimu wenu wamewafundisha, na viongozi wenu wa dini wamewapa maadili ya kidini. Usiwe na Ushabiki ambao ukiambiwa toa ushahidi huna. Na wana CCM wanataka kutuaminisha kuwa walimtoa huyu jamaa kafara kweli ndo maana wanaogopa akiingia.

swali la kujiuliza hata wewe kwanini asemwe yeye?

sio walimtoa kafara nyerere alishasema hafai kuwa kiongozi mkumba wa nchii na alipokiuka hayo ilimchukua miaka 3 kuondoka,
swli kwanini yeye ndo awe wzr mkuu wa kwanza kukutana na anguko la kisiasa 50 yrz ya huru,chukua zako changanya na za shule songa mbele.
 
binafsi nilimuhotaji na sina jinsi kwa sasa,naumia tu

pole sana ila usijali tutakupoza kwa kuleta mtu mwingine wa ukweli,
amabye akitajwa nchi nzima itasema huyu ndiye,kauli ya kikwete,miaka 38 ya ccm
 
swali la kujiuliza hata wewe kwanini asemwe yeye?

sio walimtoa kafara nyerere alishasema hafai kuwa kiongozi mkumba wa nchii na alipokiuka hayo ilimchukua miaka 3 kuondoka,
swli kwanini yeye ndo awe wzr mkuu wa kwanza kukutana na anguko la kisiasa 50 yrz ya huru,chukua zako changanya na za shule songa mbele.

Nyerere yuko wapi? Sasa hivi tuko kizazi cha Sayansi na technology. UKWELI usiopingika sio kwamba nampigia Lowassa debe ila Watanzania tubadilikeni. Nyerere pindi anakufa hata 3G, WCDMA havikuwepo nchini . Leo hii hata wewe bado haupo digital upo Analogy kwa maana kinachoandaliwa sasa hivi ni wadogo zetu ndo watafaidi. Achana ni history. Tunafanya Siasa safi, Siasa ya Vijana.
 
Watanzania tumejisahau tusipeleke nguvu zaidi kwenye siasa Chafu hii ndo inayoleta udini,Ukabila, Urangi pia Ukanda. Mbona kuna siasa safi ambayo ni ya kisomi. Msikilizeni Peter MSIGWA.

nani wanamchafua mkuu?
 
nani wanamchafua mkuu?

Mkuu kinachoelekezwa kwenye siasa za watu sasa hivi ni CHUKI. Nakatisha mitaa ya Sinza nakuta mtu anasema afadhali Mramba kafungwa jamaa anasomesha watoto St. Marian. Yaani unaweza jiuliza huyu ndo Mtanzania au ndo nani? Hii sio Siasa tena ishakuwa CHUKI. Ndo kama huyu EL wanavyomfanyia sasa hivi. Mambo kama haya hayafai kwa mtanzania. Haya kafungwa je Watanzania tumerudishiwa pesa zetu??
Angalia wangerudisha pesa zetu ndo waendelee nae. Kule Gerezani tutaanza tena kumlisha sisi.
 
Nyerere yuko wapi? Sasa hivi tuko kizazi cha Sayansi na technology. UKWELI usiopingika sio kwamba nampigia Lowassa debe ila Watanzania tubadilikeni. Nyerere pindi anakufa hata 3G, WCDMA havikuwepo nchini . Leo hii hata wewe bado haupo digital upo Analogy kwa maana kinachoandaliwa sasa hivi ni wadogo zetu ndo watafaidi. Achana ni history. Tunafanya Siasa safi, Siasa ya Vijana.

mkuu hapo umekosea hakuna duniani ambako historia inafutwa na technologia hakuna ,obama alipata urais kwa kutumia slogani ya mtu mashuuri kakika dunia hii martin luter,"yes we can"
nakukubusha pia katika dini tunasoma vitabu na maandiko ya mitumena manabi wa zama hizo na tunaamini,
je nyerere wa jana ,
usiwadanganye vijana na kuwaaminisha kuwa wanaweza kwenda wanapotaka kwenda asipo kujua historia ya wanakotoka plz ni uongo.
 
mkuu hapo umekosea hakuna duniani ambako historia inafutwa na technologia hakuna ,obama alipata urais kwa kutumia slogani ya mtu mashuuri kakika dunia hii martin luter,"yes we can"
nakukubusha pia katika dini tunasoma vitabu na maandiko ya mitumena manabi wa zama hizo na tunaamini,
je nyerere wa jana ,
usiwadanganye vijana na kuwaaminisha kuwa wanaweza kwenda wanapotaka kwenda asipo kujua historia ya wanakotoka plz ni uongo.

So Obama anaongoza kwa kufuata history ipi??
 
Watanzania tumejisahau tusipeleke nguvu zaidi kwenye siasa Chafu hii ndo inayoleta udini,Ukabila, Urangi pia Ukanda. Mbona kuna siasa safi ambayo ni ya kisomi. Msikilizeni Peter MSIGWA.

Watu wa lowasa mnashangaza sana.hivi huyu lowasa anaehonga watu ili aonekane anakubalika hii ndio siasa safi? Mmechanganyikiwa nyie siyo bure.
 
Watu wa lowasa mnashangaza sana.hivi huyu lowasa anaehonga watu ili aonekane anakubalika hii ndio siasa safi? Mmechanganyikiwa nyie siyo bure.

Mkuu huwezi amini huyu EL hata kama atasimama kesho kura siwezi mpa ila siasa za CHUKI ndo tuache
 
Mkuu kinachoelekezwa kwenye siasa za watu sasa hivi ni CHUKI. Nakatisha mitaa ya Sinza nakuta mtu anasema afadhali Mramba kafungwa jamaa anasomesha watoto St. Marian. Yaani unaweza jiuliza huyu ndo Mtanzania au ndo nani? Hii sio Siasa tena ishakuwa CHUKI. Ndo kama huyu EL wanavyomfanyia sasa hivi. Mambo kama haya hayafai kwa mtanzania. Haya kafungwa je Watanzania tumerudishiwa pesa zetu??
Angalia wangerudisha pesa zetu ndo waendelee nae. Kule Gerezani tutaanza tena kumlisha sisi.

mkuu 1,zipo kweli siaza za chuki lkn huyu bwana alijisau na kutumia mbinu nyingi chafu juu ya maisha ya watu ndo maana watu wananchukia nje ya wizi wake, akaona pesa ndo kila kitu kwake,
2,mramba tayari walishachukua baadhi ya mali zake na hiyo hukumu ni haki yake mkuu,
 
Mkuu huwezi amini huyu EL hata kama atasimama kesho kura siwezi mpa ila siasa za CHUKI ndo tuache

mkuu sio chuki yapo mengi ya siri ya el ukiyajua hauwezi hata kupishana nae,
 
mkuu 1,zipo kweli siaza za chuki lkn huyu bwana alijisau na kutumia mbinu nyingi chafu juu ya maisha ya watu ndo maana watu wananchukia nje ya wizi wake, akaona pesa ndo kila kitu kwake,
2,mramba tayari walishachukua baadhi ya mali zake na hiyo hukumu ni haki yake mkuu,

Mkuu Mramba hawajachukua Mali zake lazima ingetangazwa na gazeti la serikali. Au kama siku hiyo sijasoma gazeti naomba snapshot
 
Back
Top Bottom