Akitoa hotuba raisi kikwete alisema maneno haya mkoani kigoma katika sherehe za kuzaliwa ccm namnukuu,
' nitakakisha naiacha nchi yetu chini ya ccm tena kwa rais kijana'
hapo na wewe ulikuwepo
kuna hii nayo ambayo ililetwa hapa jamiiforums ikitaja maneno ya zitto kabwe aliyo ambiwa na rais kikwete mwaka 2011?
Raisi alisema hivi kwa mujibu wa zitto,
namnukuu
' msikubali atakaye nirithi awe na rika kama langu ,kizazi chenu kijiandae '
my take, haya maneno yataonekana Jumapili hii dodoma mh, lowassa jiandae kisaikolojia
' nitakakisha naiacha nchi yetu chini ya ccm tena kwa rais kijana'
hapo na wewe ulikuwepo
kuna hii nayo ambayo ililetwa hapa jamiiforums ikitaja maneno ya zitto kabwe aliyo ambiwa na rais kikwete mwaka 2011?
Raisi alisema hivi kwa mujibu wa zitto,
namnukuu
' msikubali atakaye nirithi awe na rika kama langu ,kizazi chenu kijiandae '
my take, haya maneno yataonekana Jumapili hii dodoma mh, lowassa jiandae kisaikolojia