Lowassa umeturoga?

Lowassa umeturoga?

Ukitaka kuonekana mbaya muongelee lowassa vibaya unaweza ukapigwa na raia za mabadiliko. VivaLowassa nyota yko haijawahi kutokea.
 
Nyie woooote mnaosema mnampenda sidhani kama kuna wa kunifikia mimi,niombeeni jama maana haya mahaba ya Lowassa yataniua mwenzenu!
Mpaka watu wananifikiria vibaya eti najipendekeza ili 'nifikiriwe' kwenye serikali ya Lowassa....hell NO!
Nampenda Lowassa kama Lowassa and nothing else.
 
leo hii hata Lowasa ajiseme kuwa yeye ni fisadi,mwizi,mimi sitamuamini nitampa kura yangu,family yetu+Majirani wameahidi kumpa kura.

Hahahahaaaa wewe umetisha aisee.
 
Mbona unapendwa sana?Kila mahali ni Lowassa na UKAWA,Lowassa mganga wako ni mzungu?Mikutano yako yote watu wanajaa pomoni kwa nini?Hamtumii wasanii(fiesta) kuwavutia watu,mabango yako ni machache sana lakini uko kwenye mioyo ya watu kwa nini?Unafedheheshwa kila siku lakini watu bado wanaimani na wewe,uwe mwizi,fisadi au mgonjwa watanzania wanasema watakuchagua hivyohivyo.Lowassa ,mimi niko kijijini Kisewe wilaya ya Ulanga mkoa wa Morogoro jina lako limetawala sana kwa vijana na wazee.Lowassa umeturoga?Hata mimi navutiwa na wewe lakini sijui kwa nini kwako

Ustaarabu wake mtu asie na maneno Kiukweli
Pili tulishajiandaa yeye. Ndo raisi wa awamu ya 5 kwahiyo ata angekua aje alipo tupo
Ila jana kuna mwehu mmoja wa uvccm alimtukana matusi machafu adi nkajiuliza ivi watoto na mama regina wanajiskiaje wakisikia dady wao anadhihakiwa kiasi lile real painfully
But god is good watakiona.
 
hili la kutohitaji wasanii unashangaa nini sasa? wakati huyu mh mwenyewe ana shahada ya usanii ya ud. ubunifu wa usanii wake ni kiboko, maana mtu anabunia mpaka biashara ya kununua kuzimia kwa watu.

pili hili la kuwaroga yawezekana maana hata chekechea tumewaono wakigharikisha mikutano yake hapo mara.
 
Kwa sababu yupo frimason ndicho maana anapendwa sana pamoja na kujinyea atakoma na nchi hapati

Mkuu usifikiri hatujachoka na matukano yenu juu ya mgombea huyu Edward lowassa kuwa makini na chunga mdomo..jiheshimu
Kwa sababu ukiambiwa uthibitishe hutaweza
 
hili la kutohitaji wasanii unashangaa nini sasa? wakati huyu mh mwenyewe ana shahada ya usanii ya ud. ubunifu wa usanii wake ni kiboko, maana mtu anabunia mpaka biashara ya kununua kuzimia kwa watu.

pili hili la kuwaroga yawezekana maana hata chekechea tumewaono wakigharikisha mikutano yake hapo mara.

We kweli kojo tena la mlevi mzee wa kike.

Umesahahu mabwana zako huwa wanaenda kufunga shule na kuindoka na wanafunzi wote.au hujui?
 
Kura yangu moja ndani ya box na haitozidi box na sitaandiki kitu chochote kwenye karatasi zangu tatu na kura zangu zote ni ukawa tu!!
 
Wee acha tu, kule rombo kijiji cha mamsera kitongoji cha usesi ni lowasa tu! Hadi bibi yangu ananiambia kwanini sirikali haitaki kumpa kiti chake?? Uwii na kule umewaloga!!!
 
Fanya Kazi ule Maisha ,hayo mengine yanakupotezea Muda,

nyi ndo wenye slogans km za magufuli za hapa kaz tu bila hata critical thinking. Siasa ndo maisha yenyewe, nchi ambazo siasa haijakaa sawa hata hzo kaz unazosema hapa hazfanyiki. acha watu wajadli inatokea mara 1 baada ya miaka 5
 
Nimesha shuhudia watu tofauti tofauti waki busu picha ya lowassa dah no shidahhhh kwa hali hii kweli lazima ccm ikate pumzi!
 
Binafsi ninavompenda Lowassa kesho mtaniona kwenye vyombo vya habari maana nitafanya makubwa hapa mwanza *****
 
Back
Top Bottom