Lowassa umeturoga?

Lowassa umeturoga?

Yaani mahaba ya Lowassa ni shida, Magufuli mwenyewe kakonda mbaya na mahaba ya Lowassa.
 
Mbona unapendwa sana?Kila mahali ni Lowassa na UKAWA,Lowassa mganga wako ni mzungu?Mikutano yako yote watu wanajaa pomoni kwa nini?Hamtumii wasanii(fiesta) kuwavutia watu,mabango yako ni machache sana lakini uko kwenye mioyo ya watu kwa nini?Unafedheheshwa kila siku lakini watu bado wanaimani na wewe,uwe mwizi,fisadi au mgonjwa watanzania wanasema watakuchagua hivyohivyo.Lowassa ,mimi niko kijijini Kisewe wilaya ya Ulanga mkoa wa Morogoro jina lako limetawala sana kwa vijana na wazee.Lowassa umeturoga?Hata mimi navutiwa na wewe lakini sijui kwa nini kwako

Niko mwanza kusalimia wazazi yani hapa nyumbani ni Lowassaaa hadi wachunga ng'ombe na wote wana vichinjio vyao tarehe 25 patakuwa hapatoshi jamani viva lowassa
 
Mbona unapendwa sana?Kila mahali ni Lowassa na UKAWA,Lowassa mganga wako ni mzungu?Mikutano yako yote watu wanajaa pomoni kwa nini?Hamtumii wasanii(fiesta) kuwavutia watu,mabango yako ni machache sana lakini uko kwenye mioyo ya watu kwa nini?Unafedheheshwa kila siku lakini watu bado wanaimani na wewe,uwe mwizi,fisadi au mgonjwa watanzania wanasema watakuchagua hivyohivyo.Lowassa ,mimi niko kijijini Kisewe wilaya ya Ulanga mkoa wa Morogoro jina lako limetawala sana kwa vijana na wazee.Lowassa umeturoga?Hata mimi navutiwa na wewe lakini sijui kwa nini kwako

Inawezekana Wengi Wanajitokeza Kwenda Kuhakiki MIKIMBA Anayoishusha Kama Alivyoishusha Sehemu Mbalimbali Za Nchi Japo Alitia Fora Geita Na Chato Huku Tanga Yakimkosakosa Kumtoka.
 
Back
Top Bottom