Lowassa : Tutashinda uchaguzi 2020

Lowassa : Tutashinda uchaguzi 2020

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
13,562
Reaction score
57,885
a86e5d545d6269e9580762b5d87852df.jpg
 
Duuuhhh,kuwa mwanasiasa unahitaji kuwa na roho ngumu,labda na yeye alete tume mpya ya uchaguzi kutoka nje,kama Simba Sc inavyosisitiza mechi yake na Yanga ichezeshwe na marefa kutoka nje ya nchi.Kama tutaendelea na tume hizi ambazo zinavuruga uchaguzi makusudi ili zipewe tuzo(rejea kauli ya Rais John Pombe Magufuli akimtaka Rais wa Zanzibar ampe tuzo Jecha kwa kazi nzuri aliyoifanya "ya kuvuruga uchaguzi'),sioni ni kwa namna gani anavyoweza kushinda uchaguzi wa 2020.

Kwa tume hii tuliyonayo ambayo wakurugenzi wa halmashauri,majiji na miji ambao huteuliwa na Rais ndiyo wasimamizi wakuu wa uchaguzi katika maeneo yao,tutarajie goli jingine la mkono zaidi ya hili tuliloliona uchaguzi uliopita.

Kutegemea msimamizi wa uchaguzi ambaye ni mteule wa Rais akutendee haki,huku akijuwa kuwa kitendo cha kukutangaza mshindi kinaweza kumpelekea akapoteza nafasi yake kama ilivyotokea kwa yule mama wa Morogoro,ni sawa na kusubiri embe dodo chini ya mnazi.
 

Attachments

Atakuwa amepona kale kaugonjwa unaomlazimu kujichoma sindano za miguuni?
 
Kabla ya chochote agenda no 1 lazima iwe KATIBA MPYA..
Hii italeta Tume Huru ya Uchaguzi ili tuondokane kwanza na hiki kichaka cha wezi wa kura kinachoratibiwa na Lubuva.
Bila Tume Huru ya Uchaguzi.. Hakuna ushindi.
 
Duuuhhh,kuwa mwanasiasa unahitaji kuwa na roho ngumu,labda na yeye alete tume mpya ya uchaguzi kutoka nje,kama Simba Sc inavyosisitiza mechi yake na Yanga ichezeshwe na marefa kutoka nje ya nchi.Kama tutaendelea na tume hizi ambazo zinavuruga uchaguzi makusudi ili zipewe tuzo(rejea kauli ya Rais John Pombe Magufuli akimtaka Rais wa Zanzibar ampe tuzo Jecha kwa kazi nzuri aliyoifanya "ya kuvuruga uchaguzi'),sioni ni kwa namna gani anavyoweza kushinda uchaguzi wa 2020.

Kwa tume hii tuliyonayo ambayo wakurugenzi wa halmashauri,majiji na miji ambao huteuliwa na Rais ndiyo wadimamizi wakuu wa uchaguzi katika maeneo yao,tutarajie goli jingine la mkono zaidi ya hili tuliloliona uchaguzi uliopita.

Kutegemea msimamizi wa uchaguzi ambaye ni mteule wa Rais akutendee haki,huku akijuwa kuwa kitendo cha kukutangaza mshindi kinaweza kumpelekea akapoteza nafasi yake kama ilivyotokea kwa yule mama wa Morogoro,ni sawa na kudubiri embe dodo chini ya mnazi.


Kwenda kwenye uchaguzi mwingine katika mazingira haya haya ya kikatiba ni ukichaa wa level ya PHD
 
yetu masikio na macho.....uzee na unatufatilia mwenendo wetu.
 
Ameshindwa penati ataweza kona? 2015 alikuwa amejipanga sana kifedha na mikakati kuwa Rais, 2020 itakuwaje?..
 
MZEE LOWASA PUMZIKA BABA UMECHOKAAA. URAIS UTAUSIKIA TU REDIONI NA KUUONA KWENYE TV.
 
Na 2020 Aseme tens 2025
Nanyi vibendera mfurahie story za ndotoni
 
2020 mbali sana, tuombe utabiri wa lema utimie haraka sana kabla ya kwisha kwa mwaka huu
 
Back
Top Bottom