Katasheka jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2016
- 528
- 359
Upinzani wa nchi hii ni kuuonea huruma, hivi hadi leo unaamini Lowasa ni mpinzani!??
Upinzani wa nchi hii ni kuuonea huruma, hivi hadi leo unaamini Lowasa ni mpinzani!??
we jamaaa unajipenda umesema mgonjwa huoni wote waliomtabiria hawapo .....[HASHTAG]#just[/HASHTAG] kiddingKabla ya chochote agenda no 1 lazima iwe KATIBA MPYA..
Hii italeta Tume Huru ya Uchaguzi ili tuondokane kwanza na hiki kichaka cha wezi wa kura kinachoratibiwa na Lubuva.
Bila Tume Huru ya Uchaguzi.. Hakuna ushindi.
Jipeni moyo hapo ni usanii wa edo. Mtashinda kwa kuunga mkono ufisadi na kupinga hatua za kuondoa uzembe na ubadhirifu serikalini? Hivi chadema ina 'offerr' nini hasa..au ni kuuza sura ya edo na kutegemea kuchochea chuki. Kiitikadi cdm haiko na umma ila mabepari uchwara ambao njia yao inaishia kufukarisha umma na kuwaneemesha wao.Hapo ni lazima ssa viongozi wetu wadai katiba mpya na tume huru otherwise tutaishia kulalamika kuibiwa tena 2020.
Kwa huu uchumi wa kuzimu huu sio jpm akichomoa 2020 yatamkuta ya Yahaya jamehAmeshindwa penati ataweza kona? 2015 alikuwa amejipanga sana kifedha na mikakati kuwa Rais, 2020 itakuwaje?..
Wanaoshinda njaa ni wanyonge si lowasa!..Labda watashinda njaa na si
Uchaguzi Lowassa braza pumzika
Tu urais unaupenda ila wenyewe
Haukupendi una nyota kukatwa
Waachie wenye nyota zao wang'are kama almasi
Labda mbingu na nchi vikusane ndo itatokea lakini NEVER NEVERHuyu jamaa ana positive mind sana, ila unfortunately hatakaa aje kuwa raisi wa hii nchi.
Hakika na huo ndio ukweli mchungu akubali tu yaishe kashachelewa its too late to catch the trainMZEE LOWASA PUMZIKA BABA UMECHOKAAA. URAIS UTAUSIKIA TU REDIONI NA KUUONA KWENYE TV.
kuwa NYUMBU kazi sanaNa 2020 Aseme tens 2025
Nanyi vibendera mfurahie story za ndotoni
Acha kujidanganya.....vikao vyote vimeshanunuliwa na Lowassa.Kwani EDO ndiye mgombea wa urais 2020 CHADEMA? ukweli ni kwamba bado vikao halali vya chama hicho havijakaa kuteua mtu ambaye atapeperusha bendera yao katika kinyang'anyiro cha urais 2020
kuota kubaya
Lema alikuwa anajitabiria mwenyewe. Yatamfika muda si mrefu.2020 mbali sana, tuombe utabiri wa lema utimie haraka sana kabla ya kwisha kwa mwaka huu
hivi unafkiri chadema haya mnayoyaona magufuli analalamikia ssi hatukuwahi lalamikia?? issue za bandari sijui mikataba mibovu yote hayo upinzani uliyashkia bango ila mliona kma tunapiga kelele leo hii mmeumbuka. Hii ni nchi ya kidemokrasia siasa za ushindani hazieupukiku so kwakuwa nyie mnaona jpm anafanya kazi sana ndio mnataka upinzani usiweke mgombea urais eti kwkuwa tunapinga uwajibikaji na tutakuwa tunatete mafisadi?? mkuu naomba ukapitie tena elimu ya uraia ujue umuhim wa vyama vingi. lazma ujue kila chama kina aim kupata uongozi ndio maana hata kma obama kapiga sana maendeleo ila bado wamarekani wamekip chama cha republican lengo kuu likiwa kuona sera mbadala lakini haina maana kuwa obama alishindwa kuiongoza marekani vzuri. na ningependa hili ulielewe mkuu maana bila vyama vingi trust me chama tawala kitalala kabisa na maendeleo yatadorora ila kukiwepo na alternative parties wananchi wanaweza kuamua nani wampe ridhaa ya kuwaongoza na icho ndo kinafanya vyama tawala kupiga kazi kuleta maendeleoJipeni moyo hapo ni usanii wa edo. Mtashinda kwa kuunga mkono ufisadi na kupinga hatua za kuondoa uzembe na ubadhirifu serikalini? Hivi chadema ina 'offerr' nini hasa..au ni kuuza sura ya edo na kutegemea kuchochea chuki. Kiitikadi cdm haiko na umma ila mabepari uchwara ambao njia yao inaishia kufukarisha umma na kuwaneemesha wao.
Safi Sana Lowassa. Chadema mmeanza mapema kuwapa ile hofu kuu ccm wasiyoitaka.