Lowassa siyo mrahisi kama RA; ni Mtu wa visasi zaidi

Aendelee tu kuota ndoto za mchana kwani Lowassa anasahau watanzania wana hasira naye kiama na akiamua kugombea urais akipata kura hata 10% ashukuru mungu. Mie naomba CCM wamchague awe mgombea urais tumsubiri mtaani kumuangusha anguko kuu once a fisadi always a fisadi there is no redemption. Mchagueni CCM anawafaa 2012 sijui 2015 tunamsubiri.
Huyo ndiye mgombea mtarajiwa wa CCM come 2015 upende usipende na Kikwete hana jinsi kwa hilo.
 
Huyo ndiye mgombea mtarajiwa wa CCM come 2015 upende usipende na Kikwete hana jinsi kwa hilo.

Tunamwombea kila la kheri tunamsubiri mtaani. Nilishasema nyuma Lowassa labda Monduli ndio atashinda kiti cha urais kwengineko sahau. Tatizo la Lowassa moja kila anakopita amelikoroga na kuacha athari za watu wenye kumchukia. Nawaombeni CCM mumchague na kama mtaturuhusu tusio wanachama tumpigie kura awe mgombea wenu 2015 tutampigia. Halafu tutapata kuizika vizuri historia ya CCM nchini Tanzania na Chadema kuchukua nchi kwa muda mrefu!!!!
 
Joto la uchaguzi ndani ya CCM linazidi kupanda kabla ya uchaguzi huo mwakani 2012 na tayari vyanzo vyangu vya habari za upekuzi zinafunua juu ya viapo vya Edward Lowassa kuwa amejiapiza atahakikisha kuwa ni wanamtandao wake wanaibuka kidedea kwenye kila ngazi ya uongozi ndani ya CCM.

Taarifa yako haipingani na niliyonayo kwamba suala la kutenganisha kofia ya M/Kiti na Uraisi siyo mjadala tena bali liko katika UTEKELEZAJI. JK has to surrender the Chairmanship position kwenye mkutano mkuu wa 2012.
 
Tunamwombea kila la kheri tunamsubiri mtaani. Nilishasema nyuma Lowassa labda Monduli ndio atashinda kiti cha urais kwengineko sahau. Tatizo la Lowassa moja kila anakopita amelikoroga na kuacha athari za watu wenye kumchukia. Nawaombeni CCM mumchague na kama mtaturuhusu tusio wanachama tumpigie kura awe mgombea wenu 2015 tutampigia. Halafu tutapata kuizika vizuri historia ya CCM nchini Tanzania na Chadema kuchukua nchi kwa muda mrefu!!!!
Watanzania wepesi sana kusahau tumeona juzi Igunga wamehongwa nyama ya mbuni na kusahau matatizo yao yote.
 
Watanzania wepesi sana kusahau tumeona juzi Igunga wamehongwa nyama ya mbuni na kusahau matatizo yao yote.

Unayosema kweli kabisa watanzania wepesi kusahau ila kwa Lowassa itakuwa ngumu maana hata mtoto wa miezi tisa tumboni mwa mama yake mzazi akisikia jina la Lowassa analia vibaya sana. Kama huamini pita mtaani kusanya watoto kumi uwaulize Lowassa nani jibu utaambiwa fisadi mkuu!!! na 2015 Vijana watakuwa wengi vizee wengi watakuwa washajichokea zao tuliobakia hata nguvu ya ushawishi itakuwa hakuna. Labda Lowassa anataka wakose wote Urais na CCM ife atasaidia sana kwa hilo.

Igunga kilichotokea ni rafu tu lakini unasahau Igunga ni jimbo moja wametumia Bilioni 2 CCM kushinda unafikiri watahonga kiasi gani nchi nzima kumuuza Lowassa achaguliwe wakati fedha za uchaguzi hazidi hata Billioni 10 (kama sikosei sina uhakika)?
 
Muda wa Lowasa ulishapita atambue hivyo. Kwani muda wote ameongoza kabla wengine hawajazaliwa. Ina maana kitu hakufanya makusudi ndio anataka afanye sasa. Nchi hii ina watu wengi sana nao acha waongoze. Wewe ulishaboronga inatosha.


Mkuu, uliyosema ni kweli kwa waTZ wengi, lkn siyo kweli ndani ya CCM. Bado ana nguvu sana ndani ya magamba, hasa baada ya kuona JK na Pinda wanavyoshindwa kuendesha nchi na chama
 
mwacheni mzee Lowassa apumzike alijiuzulu uwaziri mkuu tetesi hii haimtendei haki. Uamuzi wa kuachia madaraka ni mzito kwa upande wa serikali ndivyo hivyo tunategemea atachukua uamuzi mzito kwenye chama chake kwa kutokuwa nyuma ya kundi lolote ndani ya chama

Si walimdanganya ajiuzulu ili wamsafishe na hawajafanya hivyo imekula kwake
 
Sasa lowasa sio rais mali asili zetu zinauzwa je pindi akiwa rais ata raia wake watauzwa
 
Na sie CUF tutamsimamisha Mtatiro kwenye uchaguzi wa 2015 kama chama chetu bado kitakuwa hai kwa kudra za Muumba.
Uchaguzi wa nini, mwenyekiti wa chama au urais? Maana hapa thread inazungumzia uchaguzi wa chama 2012. Kama ni uchaguzi wa mgombea urais, namuunga mkono Mtatiro abebe jahazi ili jamaa zetu wachanganyikiwe nani wa kumchagua kwa kuwa hatakuwepo "mwenzetu" mwingine mwenye nguvu ya kuukwaa urais
 
Tunamwombea kila la kheri tunamsubiri mtaani. Nilishasema nyuma Lowassa labda Monduli ndio atashinda kiti cha urais kwengineko sahau. Tatizo la Lowassa moja kila anakopita amelikoroga na kuacha athari za watu wenye kumchukia. Nawaombeni CCM mumchague na kama mtaturuhusu tusio wanachama tumpigie kura awe mgombea wenu 2015 tutampigia. Halafu tutapata kuizika vizuri historia ya CCM nchini Tanzania na Chadema kuchukua nchi kwa muda mrefu!!!!

Mkuu ankuunga Mkono kwa hoja yako.
 
Joto la uchaguzi ndani ya CCM linazidi kupanda kabla ya uchaguzi huo mwakani 2012 na tayari vyanzo vyangu vya habari za upekuzi zinafunua juu ya viapo vya Edward Lowassa kuwa amejiapiza atahakikisha kuwa ni wanamtandao wake wanaibuka kidedea kwenye kila ngazi ya uongozi ndani ya CCM.

Mnamjadili mtu ambaye kufika wakati huo atakuwa anasaga mguu kutafuta wafuasi wa chama kipya baada ya kutuowa nje ya nyumba.
 
We umezaliwa wapi na umekulia wapi?kiasi kwamba hata kusikia sifa za huyu bwanan un ashangaa!una mahhusiano gani nae au una nufaikia na nini kutoka kwa huyo bwana,hemu acha wadau watujuze habari za huyu bwana kama vp eleza jinsi unavyo mfahamu wewe!kuliko kuvagaaa kamanda na niswali ya ajabu kwa maslai9 tujsiy6o yhajua.
 
extremely dangerous person. nilikua nafikiri labda akipewa ubwana mkubwa atakua mzalendo,lakini naona chuki zake, tamaa ya fedha na madaraka na kutaka kuabudiwa kumemuingia sana hawezi badilika. na hawa CCM hawawezi kumvua gamba kazi kubwa 2015 kwa kanchi ketu haka
 
Back
Top Bottom