gidamulida
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 286
- 95
unamzungumzia mzee madini makubwamakubwa na madini madogomadogo??
Kwanza mi namshangaa sana Lowassa anavyohangaika na kampeni. Hivi ana haja ya kufanya kampeni kweli?
Wakati akihutubia Bariadi wananchi hawakumsikia alichokuwa akisema hivyo nyomi ikaanza kusepa.
Huenda na Geita ilikuwa tatizo ni sauti yake na si vipaza sauti. (?)
Basi nashauri atengenezewe kipaza sauti chake maalum maana iliwaboa waliohudhuria mkutano wake waliokuwa nje ya jukwaa.
Source. Aliyekuwapo
Mgonjwa wa mapafu na kisukari huyo hafai kila baada ya masaa 2 sindano za dozi,bora tumpe hashim rungwe kuliko richmonduli,NEC inapaswa kuweka kipengele cha afya kwa wagombea urais
Nashauri hapa tuweke mambo ya msingi, swala la kupewa taarifa na aliyekuwepo ni second hand news given, no research no right to speak or write, fanya utafiti kwanza, mabadiliko ni nyakati na wakati ukifika hakuna Wa kuzuia, Lowassa ni mabadiliko.
#MabadilikoNiLazima2015
Lowassa hadi sasa KASHASHINDA...
ANATIMIZA majukumu tu ya RATIBA... like football match, lazima dak. 90 ziishe hata kama uko mbele kwa magoli 100 na bado dak 5 mpira kuisha..!!!
Lowassa ndio Rais is just the matter of time...!!!
Kwanza mi namshangaa sana Lowassa anavyohangaika na kampeni. Hivi ana haja ya kufanya kampeni kweli?
unamzungumzia mzee madini makubwamakubwa na madini madogomadogo??
Wakati akihutubia Bariadi wananchi hawakumsikia alichokuwa akisema hivyo nyomi ikaanza kusepa.
Huenda na Geita ilikuwa tatizo ni sauti yake na si vipaza sauti. (?)
Basi nashauri atengenezewe kipaza sauti chake maalum maana iliwaboa waliohudhuria mkutano wake waliokuwa nje ya jukwaa.
Source. Aliyekuwapo
acha kusikika tu hata awe bubu lowassa nitamchagua