Lowassa nyuma ya mgomo wa madaktari

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,135
17,800
Lowassa bado anasumbuliwa na jinamizi la kujiuzulu.Anajitahidi kujisafisha.Kuna kila uwezekano kuwa Waziri Mkuu mjiuzulu,Edward Lowassa anahusika moja kwa moja na mgomo wa Madaktari unaoendelea nchini kote.Taarifa rasmi zinaoonyesha kuwepo kwa vikao vya siri kati ya watu wa karibu wa Lowassa na viongozi wa wadaktari walio kwenye mgomo akiwemo Mwenyekiti wao Dr.Stephen Ulimboka.

Taarifa zinaonyesha kuwa ni watu wa Lowassa waliosalia Ofisi ya Waziri Mkuu ndio waliowapenyezea nyaraka Madaktari hao kuwa posho na mishahara yao imepanda ila Serikali imegoma kuanza kuitekeleza.Mishahara na posho hizo zilipanda kipindi ambacho Lowassa alikuwa Waziri Mkuu.Lowassa amekuwa akifadhili mgomo wa Madaktari hao ili kuhakikikisha kuwa Ofisi aliyojiuzulu aitawaliki.Wachambuzi wa mambo wanasema kuwa Waziri Mkuu Pinda ameshaung'amua mpango wa Lowassa na ndio maana alijitosa mojakwamoja kwenye sakata hilo.

Watu wa karibu wa Lowassa ambao wanatumiawa kutimiza mpango huo wameapa kuifanya Ofisi ya Waziri Mkuu kuwajibika badala ya Wizara ya Afya inayoongozwa na Dr,Haji Mponda.Lowassa anacheza mchezo salama?
 
Yatasemwa mengi sana mara tutasikia CDM mara Lowassa n.k

Hoja ya msingi je kuwa madaktari wamepotoka au wana hoja? Tuanzie hapo.
 
Kwa maelezo ya Dr Mponda - waziri wa Afya ni kwamba Dr Ulimboka alihusika pia kwenye mgomo mwingine wa madaktari 2005. Je, huko nako Lowassa alihusika?

Pia madaktari wametoa list ya kero zao, je, serikali ilitatua kero hizo lakini madaktari bado wakagoma? Ni rahisi san kutafuta visiongizio lakini mambo ya msingi yatabakia pale.
 
Lowassa bado anasumbuliwa na jinamizi la kujiuzulu.Anajitahidi kujisafisha.Kuna kila uwezekano kuwa Waziri Mkuu mjiuzulu,Edward Lowassa anahusika moja kwa moja na mgomo wa Madaktari unaoendelea nchini kote.Taarifa rasmi zinaoonyesha kuwepo kwa vikao vya siri kati ya watu wa karibu wa Lowassa na viongozi wa wadaktari walio kwenye mgomo akiwemo Mwenyekiti wao Dr.Stephen Ulimboka.

Taarifa zinaonyesha kuwa ni watu wa Lowassa waliosalia Ofisi ya Waziri Mkuu ndio waliowapenyezea nyaraka Madaktari hao kuwa posho na mishahara yao imepanda ila Serikali imegoma kuanza kuitekeleza.Mishahara na posho hizo zilipanda kipindi ambacho Lowassa alikuwa Waziri Mkuu.Lowassa amekuwa akifadhili mgomo wa Madaktari hao ili kuhakikikisha kuwa Ofisi aliyojiuzulu aitawaliki.Wachambuzi wa mambo wanasema kuwa Waziri Mkuu Pinda ameshaung'amua mpango wa Lowassa na ndio maana alijitosa mojakwamoja kwenye sakata hilo.

Watu wa karibu wa Lowassa ambao wanatumiawa kutimiza mpango huo wameapa kuifanya Ofisi ya Waziri Mkuu kuwajibika badala ya Wizara ya Afya inayoongozwa na Dr,Haji Mponda.Lowassa anacheza mchezo salama?
Craaaaaaap!
Mudslung politikz, this is very low ewe kibaraka unaelipwa kumchafua Lowassa. Tumechoka na thread daily zisizo na mshiko
Nyambaaaaf!
 
Lowassa bado anasumbuliwa na jinamizi la kujiuzulu.Anajitahidi kujisafisha.Kuna kila uwezekano kuwa Waziri Mkuu mjiuzulu,Edward Lowassa anahusika moja kwa moja na mgomo wa Madaktari unaoendelea nchini kote.Taarifa rasmi zinaoonyesha kuwepo kwa vikao vya siri kati ya watu wa karibu wa Lowassa na viongozi wa wadaktari walio kwenye mgomo akiwemo Mwenyekiti wao Dr.Stephen Ulimboka.

Taarifa zinaonyesha kuwa ni watu wa Lowassa waliosalia Ofisi ya Waziri Mkuu ndio waliowapenyezea nyaraka Madaktari hao kuwa posho na mishahara yao imepanda ila Serikali imegoma kuanza kuitekeleza.Mishahara na posho hizo zilipanda kipindi ambacho Lowassa alikuwa Waziri Mkuu.Lowassa amekuwa akifadhili mgomo wa Madaktari hao ili kuhakikikisha kuwa Ofisi aliyojiuzulu aitawaliki.Wachambuzi wa mambo wanasema kuwa Waziri Mkuu Pinda ameshaung'amua mpango wa Lowassa na ndio maana alijitosa mojakwamoja kwenye sakata hilo.

Watu wa karibu wa Lowassa ambao wanatumiawa kutimiza mpango huo wameapa kuifanya Ofisi ya Waziri Mkuu kuwajibika badala ya Wizara ya Afya inayoongozwa na Dr,Haji Mponda.Lowassa anacheza mchezo salama?

acha uharo wako kwenye choo chako cha shimo nyumbani kwako
 
Lowassa bado anasumbuliwa na jinamizi la kujiuzulu.Anajitahidi kujisafisha.Kuna kila uwezekano kuwa Waziri Mkuu mjiuzulu,Edward Lowassa anahusika moja kwa moja na mgomo wa Madaktari unaoendelea nchini kote.Taarifa rasmi zinaoonyesha kuwepo kwa vikao vya siri kati ya watu wa karibu wa Lowassa na viongozi wa wadaktari walio kwenye mgomo akiwemo Mwenyekiti wao Dr.Stephen Ulimboka.

Taarifa zinaonyesha kuwa ni watu wa Lowassa waliosalia Ofisi ya Waziri Mkuu ndio waliowapenyezea nyaraka Madaktari hao kuwa posho na mishahara yao imepanda ila Serikali imegoma kuanza kuitekeleza.Mishahara na posho hizo zilipanda kipindi ambacho Lowassa alikuwa Waziri Mkuu.Lowassa amekuwa akifadhili mgomo wa Madaktari hao ili kuhakikikisha kuwa Ofisi aliyojiuzulu aitawaliki.Wachambuzi wa mambo wanasema kuwa Waziri Mkuu Pinda ameshaung'amua mpango wa Lowassa na ndio maana alijitosa mojakwamoja kwenye sakata hilo.

Watu wa karibu wa Lowassa ambao wanatumiawa kutimiza mpango huo wameapa kuifanya Ofisi ya Waziri Mkuu kuwajibika badala ya Wizara ya Afya inayoongozwa na Dr,Haji Mponda.Lowassa anacheza mchezo salama?

Hiyo pia ni mbinu ya kujisafisha kwa El
 
Craaaaaaap!
Mudslung politikz, this is very low ewe kibaraka unaelipwa kumchafua Lowassa. Tumechoka na thread daily zisizo na mshiko
Nyambaaaaf!

Zisizo na mshiko wakati mwenzio keshawezeshwa na lowasa
 
Mtakuja na mengo na mshaweka mengi humu kwakumsafisha lowasa ili ukweli utasimama palepale hatufai kutuongoza kama tu alipewa u PM akatufanya masiki kivile je akiingia ikulu itakuwa je?
 
tuulize tulioanzisha mgomo tukuambie ukweli.mambo ya kumchafulia mtu kisiasa is bullshit...plz keep siasa out of this issue,we are dealing na maisha ya watu
 
Pambafu zako
Lowassa bado anasumbuliwa na jinamizi la kujiuzulu.Anajitahidi kujisafisha.Kuna kila uwezekano kuwa Waziri Mkuu mjiuzulu,Edward Lowassa anahusika moja kwa moja na mgomo wa Madaktari unaoendelea nchini kote.Taarifa rasmi zinaoonyesha kuwepo kwa vikao vya siri kati ya watu wa karibu wa Lowassa na viongozi wa wadaktari walio kwenye mgomo akiwemo Mwenyekiti wao Dr.Stephen Ulimboka.

Taarifa zinaonyesha kuwa ni watu wa Lowassa waliosalia Ofisi ya Waziri Mkuu ndio waliowapenyezea nyaraka Madaktari hao kuwa posho na mishahara yao imepanda ila Serikali imegoma kuanza kuitekeleza.Mishahara na posho hizo zilipanda kipindi ambacho Lowassa alikuwa Waziri Mkuu.Lowassa amekuwa akifadhili mgomo wa Madaktari hao ili kuhakikikisha kuwa Ofisi aliyojiuzulu aitawaliki.Wachambuzi wa mambo wanasema kuwa Waziri Mkuu Pinda ameshaung'amua mpango wa Lowassa na ndio maana alijitosa mojakwamoja kwenye sakata hilo.

Watu wa karibu wa Lowassa ambao wanatumiawa kutimiza mpango huo wameapa kuifanya Ofisi ya Waziri Mkuu kuwajibika badala ya Wizara ya Afya inayoongozwa na Dr,Haji Mponda.Lowassa anacheza mchezo salama?
 
ngoja nikuongezee hoja-..........inasemekana lowasa anamtumia sana yule mtoto wake ambaye ni daktari.mtoto huyu wa lowasa ameonekana akipata dina mara kadhaa na dr ulimboka.
 
Craaaaaaap!
Mudslung politikz, this is very low ewe kibaraka unaelipwa kumchafua Lowassa. Tumechoka na thread daily zisizo na mshiko
Nyambaaaaf!

Sisi yetu macho tunaangalia mapambano kati ya wanaolipwa kumchafua na wanaolipwa kumsafisha!!!! :lol::lol::lol:
 
Craaaaaaap!
Mudslung politikz, this is very low ewe kibaraka unaelipwa kumchafua Lowassa. Tumechoka na thread daily zisizo na mshiko
Nyambaaaaf!

Mwenzio kataka kujuzwa juu ya hilo! Ukiona inakuuma sana, pisha wadau watoe hoja zao! Lakini pia utambue kuwa si kila thread humu inakuhusu! HAYA TUPE IZO THREAD ZENYEWE ZENYE MASHIKO! Nyambaaaf na ikurudie mwenyewe!
 
ngoja nikuongezee hoja-..........inasemekana lowasa anamtumia sana yule mtoto wake ambaye ni daktari.mtoto huyu wa lowasa ameonekana akipata dina mara kadhaa na dr ulimboka.

Ha ha ha! Asante kumwongezea la kusema. Mgomo wetu hauna muingiliano na siasa wanakaribu kusaka namna ya kutuvunja nguvu, sisi sio walimu wanaotangaza migomo kila mara
 
ngoja nikuongezee hoja-..........inasemekana lowasa anamtumia sana yule mtoto wake ambaye ni daktari.mtoto huyu wa lowasa ameonekana akipata dina mara kadhaa na dr ulimboka.

Ha ha ha! Asante kumwongezea la kusema. Mgomo wetu hauna muingiliano na siasa wanakaribu kusaka namna ya kutuvunja nguvu, sisi sio walimu wanaotangaza migomo kila mara ila hatujaona mgomo ukitimia
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom