Paul Alex
JF-Expert Member
- Jul 14, 2012
- 4,344
- 9,845
Nawaza tu kwa sauti kama Mgombea Urais wa vyama vinavyounda UKAWA akitoa tamko la kuwaajibisha wanaohusika na mradi wa Ki~kinyonga wa Richmond.
Ni wazi kuwa Richmond ina watu wanaohusika nayo na kwa ukubwa wake,kwa hesabu zozote hauwezi kuwa mradi wa mtu mmoja.
Watanzania wamechoka kusikia mipasho na kumuona Kinyonga akibadilika badilika rangi.Imefika mahali,mbali na kampeni beleshi/sepeto iitwe beleshi/sepeto na sio kijiko kikubwa.
Kikwete alisema juu ya Richmond kuwa yaliyomkuta Lowasa kwenye Richmond ni ajali ya kisiasa.Hakusema ni wizi,hakusema ni mwizi na labda hatakaa aseme.
Ila Richmond ulikuwa mradi wa kifisadi na hii haina mashaka.Wahusika wake wapo na hili halina shaka.Hawajachukuliwa hatua,hili pia halina shaka.
Watanzania hatuwezi kutoa cartel blanche Kwa Dr.Slaa au Mtu yoyote mwingine juu ya akili zetu.
Namuomba Ndugu Edward Lowasa atuhakikishie kuwa ataufunga huu mjadala kwa kuwawajibisha wahusika.
Ni wazi kuwa Richmond ina watu wanaohusika nayo na kwa ukubwa wake,kwa hesabu zozote hauwezi kuwa mradi wa mtu mmoja.
Watanzania wamechoka kusikia mipasho na kumuona Kinyonga akibadilika badilika rangi.Imefika mahali,mbali na kampeni beleshi/sepeto iitwe beleshi/sepeto na sio kijiko kikubwa.
Kikwete alisema juu ya Richmond kuwa yaliyomkuta Lowasa kwenye Richmond ni ajali ya kisiasa.Hakusema ni wizi,hakusema ni mwizi na labda hatakaa aseme.
Ila Richmond ulikuwa mradi wa kifisadi na hii haina mashaka.Wahusika wake wapo na hili halina shaka.Hawajachukuliwa hatua,hili pia halina shaka.
Watanzania hatuwezi kutoa cartel blanche Kwa Dr.Slaa au Mtu yoyote mwingine juu ya akili zetu.
Namuomba Ndugu Edward Lowasa atuhakikishie kuwa ataufunga huu mjadala kwa kuwawajibisha wahusika.