abby the great
Member
- Jul 11, 2015
- 25
- 4
Poleni jaman, naona siku hizi kila kinachoongelewa ni kumeza tu... vijana wanashindwa kufikiria wala kuchuja dah mtaendelea kuitwa wapumbav na malofa kwa sababu ya ulimbuken wetu... kuna kitu mumepandikizwa si bure
Huyo ni mpumbav.u na lofa,hakuna nchi isiyo toza kodi.
Hapa UK kodi inaenda mpaka 45% kutegemea na kiasi unacho ingiza.Pia nchi wahisani hawatakubaliana nae.Huo Ni muendelezo WA usanii wake tuu.
Huyo ni mpumbav.u na lofa,hakuna nchi isiyo toza kodi.
Hapa UK kodi inaenda mpaka 45% kutegemea na kiasi unacho ingiza.Pia nchi wahisani hawatakubaliana nae.Huo Ni muendelezo WA usanii wake tuu.
kwakwel kwa upeo mdogo wakufikiri kodi ndio uleta pato la taifa sasa najiuliza mismaha iyo ikipita sio kama tutapunguza pato la taifa je iyo pesa ya kuendeshea maendeleo inatoka wap angesema atahakikiwalipa kodi wote wanadaiwa kikamilifu ili kuongeza pato la taifa kwa ajili ya maendeleo apo sawa lasihivyo aseme kama atatumia pesa yake kwa ajil ya maendeleo mtanzania amka na usirubuniwe kwa kusema kodi azitalipwa HAPA KAZI TU
Unamaanisha wale wote waliopewa misamaha ya kodi sasa hiyo misamaha inafutwa au??Alitamka hayo akiwa iringa,Nitafuta misamaha yote ya kodi,Mara nitakapoingia ikulu na kuhakikisha bandari yetu inafanya kazi KWA SAA 24.
Nitafanya kazi na wananchi wangu bega kwa bega! hapa hapa,
Nitapunguza gharama za safari za nje KWA 90%
Sitaki kuona hats shilingi moja inapotea katka bandari yetu!
Tutakaa chini pamoja NA mabenki yetu kuona jinsi tutakavyoweza kupunguza riba na jinsi tutakavyoweza kurahisi mikopo ili kila mtanzania aweze kukopa benki katika kipindi kisichozidi Sikh 45--60,
***hakika amenigusa sana ndg Edo!
kwakwel kwa upeo mdogo wakufikiri kodi ndio uleta pato la taifa sasa najiuliza mismaha iyo ikipita sio kama tutapunguza pato la taifa je iyo pesa ya kuendeshea maendeleo inatoka wap angesema atahakikiwalipa kodi wote wanadaiwa kikamilifu ili kuongeza pato la taifa kwa ajili ya maendeleo apo sawa lasihivyo aseme kama atatumia pesa yake kwa ajil ya maendeleo mtanzania amka na usirubuniwe kwa kusema kodi azitalipwa HAPA KAZI TU
Huyo ni mpumbav.u na lofa,hakuna nchi isiyo toza kodi.
Hapa UK kodi inaenda mpaka 45% kutegemea na kiasi unacho ingiza.Pia nchi wahisani hawatakubaliana nae.Huo Ni muendelezo WA usanii wake tuu.
Huyo ni mpumbav.u na lofa,hakuna nchi isiyo toza kodi.
Hapa UK kodi inaenda mpaka 45% kutegemea na kiasi unacho ingiza.Pia nchi wahisani hawatakubaliana nae.Huo Ni muendelezo WA usanii wake tuu.
Unamaanisha wale wote waliopewa misamaha ya kodi sasa hiyo misamaha inafutwa au??
Alitamka hayo akiwa iringa,Nitafuta misamaha yote ya kodi,Mara nitakapoingia ikulu na kuhakikisha bandari yetu inafanya kazi KWA SAA 24.
Nitafanya kazi na wananchi wangu bega kwa bega! hapa hapa,
Nitapunguza gharama za safari za nje KWA 90%
Sitaki kuona hats shilingi moja inapotea katka bandari yetu!
Tutakaa chini pamoja NA mabenki yetu kuona jinsi tutakavyoweza kupunguza riba na jinsi tutakavyoweza kurahisi mikopo ili kila mtanzania aweze kukopa benki katika kipindi kisichozidi Sikh 45--60,
***hakika amenigusa sana ndg Edo!
kwakwel kwa upeo mdogo wakufikiri kodi ndio uleta pato la taifa sasa najiuliza mismaha iyo ikipita sio kama tutapunguza pato la taifa je iyo pesa ya kuendeshea maendeleo inatoka wap angesema atahakikiwalipa kodi wote wanadaiwa kikamilifu ili kuongeza pato la taifa kwa ajili ya maendeleo apo sawa lasihivyo aseme kama atatumia pesa yake kwa ajil ya maendeleo mtanzania amka na usirubuniwe kwa kusema kodi azitalipwa HAPA KAZI TU
= Loliondo
kasema atafuta misamaha ya kodi,siyo kuweka misamaha ya kodi,kuwa mwelewa,unaandikiwa huelewi,je ukisimuliwa?mtanzania katika ubora wake!
Kufuta misamaha ya kodi ni uchizi Kuna mahospitali mashule yatima makanisa na misikiti Bila misamaha itakuaje?
Misamaha imekwisha kupunguzwa sana. Haiwezi kufutwa yote km Huduma za Afya, elimu, mashirika ya dini nk. Aonyeshe mfano kwa kulipa kodi yake ya mapato yote na akusanye pia kutoka kwa hao marafiki zake kikamilifu. Kama hawezi hayo asizungumzie kodi kabisa.
Huyo kutembea hawezi ataweza kusafiri, mie naona gharama za kusafiri hizo 10% zitakuwa za kuendea hospital,
hospital au hospitali? tumia lugha moja ueleweke. au wewe ndo ruksa kutuchanganyia madawa?
Ingefaa ukamfundishe Magufuli kwanza