Lowassa: Nitadhibiti rushwa kwa siku 100

Lowassa: Nitadhibiti rushwa kwa siku 100

Watanzania wana fursa ya kupata rais anayejua anataka kufanya nini kwa watanzania from day 1.

Hana muda wa honeymoon na porojo za kipuuzi.

Kura yangu anayo EL na nyingine zaidi nitajitahidi kushawishi wengine
 
Watanzania wana fursa ya kupata rais anayejua anataka kufanya nini kwa watanzania from day 1.

Hana muda wa honeymoon na porojo za kipuuzi.

Kura yangu anayo EL na nyingine zaidi nitajitahidi kushawishi wengine

Magufuli hana vission kabisa..... Lazima wananchi tuwe makini sana, huu ndio wakati wa mabadiliko
 
Magufuli asipokuwa Rais , nahama nchi
 
hiyo inawezekana 100%

rizi moko atakiona

Ajiandae mapema... Manake kila dili kubwa zilizofanyika awamu hii ya 4 jamaa yupo... Ana mali za kufuru, ni wazi serikali ya Ukawa itataka majibu ya jinsi alivyozipata...
 
Mods mnahujumu posts za Lowassa. Hii ipelekwe Jukwaa la Uchaguzi Tanzania. Mmeacha kule mambo ya kipuuzi ya ushindi wa yanga dhidi ya simba afu mmehamisha mada ya msingi kama hii kuileta kwenye jukwaa ambalo halina mvuto kwa sasa ili iwe je?

Hawa majamaa saizi ni kuwapuuza tu. Manake wameamua kuwa upande moja waziwazi kabisa.... Forum inakufa
 
Waziri Mkuu mstafu na mgombea wa umoja wa Ukawa Ndg. Edward Lowassa katema cheche na kusema Ukawa wakipewa ushindi, ndani ya siku 100 ataziba mianya yote ya rushwa, ufisadi akianza na bandarini ambapo zaidi ya Billioni 21 upotea kwa siku..

Lowassa kasema kuwa serikali ya Ukawa itakuwa na wajibu mmoja tu, ambao ni kutoa huduma iliyobora kwa wananchi na kwa wakati. Hiyo ndio serikali ninayotaka kuiona, na hayo ndio mabadiliko wanayoyataka wananchi. Hili litaendana na kuziba mianya ya rushwa, na nawahidi ndani ya siku 100 mianya hiyo itazibwa.....

Mfa Maji Haishi Kutapatapa. Mwenzetu ni Mgonjwa na Ana Ndoto za Mwendawazimu.

Hivi LOWASSA Hajaacha Tabia Yake ya Kuwalaghai Watanzania? Zile Mvua za Thailand Ziliishia Wapi?
 
Hawa majamaa saizi ni kuwapuuza tu. Manake wameamua kuwa upande moja waziwazi kabisa.... Forum inakufa

LOWASSA Kaikuta JF na Atafilisika Kama Mrema na Kuiacha JF Ikidunda Tu. Acheni Kulalamika Kama Mbowe!
 
Mafisadi kama Home shopping centre, Escrow, Richmond, Meremeta, Kagoda, zile Bl 8 za TCRA, waanze kukimbia mapema. Kiama kimefika, bado siku 27 tu

Mmhhh kwa list hiyo itabidi na yeye aanze kukimbia kivuli chake. Kwa maana hiyo sijui km tutafika mbali km hilo halitatokea
 
Sambamba na hapo atavibomoa vijumba vyote vya udongo kuanzia huko Kigoma hadi Manyara...

Kweli mazingaumbwe hayataisha toka kwa nywele nyeupe. "Shetani aamua kumuabudu Mungu"
 
Hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa. Ni sawa na gunia la kinyesi kugeuza kahawa. Ukawa mmeliwa. Hauziki huyo.
 
Ha ha ha kituko cha mwaka shetani kusema ataanza kumuabudu mungu

Mkuu panua Akili usipanue vidole ni lini lowasa akawa na dhamira ya dhati ya kukemea rushwa

Ni upofu tu wa pesa ndio umekufikisha hapo huko nyuma hukuwa hivyo

Fisadi huku kwetu nanjilinji wanajuwa n lowasa ambaye yuko ukawa

Zile episode zako za uongo zimeishia wapi? Baada ya kutueleza uongo Dr slaa kaja kukuumbua ,

Endeleeni kupiga hela za hilo fisadi lenu ila nchi n ya Dr Magufuli

Una uhakika au ushahidi kwamba Lowassa ni fisadi???
 
Magufuli asipokuwa Rais , nahama nchi
Kwanini uame nchi???? Au kwasababu unaogopa utafungwa kwa wizi wenu wa maccm????

Katika kada ya uhandisi, magufuli ni craftman au mfanya kazi wakati lowassa ndio mastermind mwenyewe au tumwite injinia!!! Hata siku moja mfanya kazi hawezi kuwa juu ya injinia!! And that is whats going to happen in 25 oct.
 
Lowassa anasifika kusimamia anachokiamini. Mimi sina shaka hata kidogo kwamba chini ya uongozi wake tutashuhudia TANZANIA MPYA tuitakayo. Anajua shida ya nchi hii. KURA yangu kwa LOWASSA, na wale wote wenye mapenzi mema tufanye hivyo na zaidi sana tumtafutie kura kwa watu wengine. Achaneni na usanii wa PUSH UP nani anazihitaji hizo katika uongozi wa Taifa?
 
Back
Top Bottom