Lowassa ni pasua kichwa


Ndio kampeni hizo mkuu! We hujaelewa tu? Wanahisi muda wa kampeni utakua mdogo, ni ujanja tu wanaoutumia kuwalaghai wananchi.
 
Mkuu anatuhumiwa kwa yule mama aliye mfungilia lema shauri la pingamizi la ubunge.
 
Kajiandikisheni ili wakati utakapofika tufanye maamuzi magumu na muhimu kuisambaratisha ccm
 
Huyu jamaa akipewa uraisi nakuhakikishia wahindi watatutawala zaidi ya wanavyotutawala sasa hivi..

Wallahi masema kweli yakhe, huyu mhindi nampa besa mingi rais wenu tenda zote za serkali tampa yeye
 
Mambo ya Nyerere yameshapitwa na wakati Lowasa ndio rais ajae wa Tanzania
Vivyo hivyo Nyerere alipotutahadharisha kuwa JK alikuwa bado mdogo, ilipofika 2005 tukasema mambo ya Nyerere yameishapitwa na wakati. Kila mbongo aliye na akili timamu ameshuhudia tuliyoambulia katika kipindi cha miaka kumi iliyopita. Sisi tuliishia kuchukua maana ya juu ya neno udogo kiumri kumbe JKN alikuwa anawajua vizuri sana hulka za hawa viumbe. Haya tuendelee na mambo ya Nyerere yamepitwa na wakati...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…