OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 437
Leo Waziri mkuu wa zamani Mhe. Edward Lowassa alikuwa mkoani Kigoma katika mbio za urais akafanikiwa kupata zaidi ya wadhamini 11,000. Jana alipokuwa mkoani Tabora alipata wadhamini zaidi ya 13,000. Hili ni kubaliko la kutosha ndani ya jamii.