Lowassa ni msomi, anapata nyomi

Ni ule utakao wekwa na chama.
Hapo ndiyo penye tatizo, utawekwa lini? Chama kinatakiwa kiwe na utaratibu unaofuatwa na wote na siyo selective. Hili si jambo la dhatura au kusitukiza, linaeleweka wakati wote. Unakumbuka waziri mkuu aliye madarakani ametangaza nia (tena baada ya wengine kufungiwa) na hajafungiwa!
 
shida ni kwamba, kila mnapomponda huyo Lowasa, ndio mnavuta attention ya kila mtu kumfuatilia
 
hakuna mjeshi msomi, vyeti vyao vinaonesha kabisaaaaaa, hata kama watu wataogopa kusema
 
wachomeee
 
VUTA-NKUVUTE nimekusoma vizuri sana,ni kweli mheshimiwa kule songea alitangaza kuwa wenye hadhi ya kugombea inabidi washawishiwe na ndio kinachotokea .........ila wasiwasi wangu ni huyo anayeshawishiwa, ni kweli alikuwa hana nia mpaka masheikh, wachungaji na wanavyuo wamfuate ndio akubali? Kweli jamaa ametumia vizuri elimu yake ya sanaa..........
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…