sixgates
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 3,979
- 1,667
Nitaandika kwa kifupi sana.
Swali ni hili... ajenda kubwa ya upinzani ni ipi?? Jibu ni " kupambana na udikteta chini ya John Magufuli" rais wa tanzania amekuwa dikteta ambaye anaziba watu midomo. Naendelea kujiuliza huyo dikteta ni yupi ambaye anawaacha watu wamuite dikteta... ni dikteta yupi huyo ambae ukivunja sheria anakupeleka mahakaman na bado unashinda,unapewa rufaa..yaan dikteta anakuacha utafute haki Zako katika mahakama (chombo kinachosimamia haki)?? Dikteta anaziba watu midomo au anakuzima hata hiyo sauti hutoi??
Lakini bado najiuliza hivi wananchi issue ya udikteta unaclick kichwani kwa mtu ambaye ameanza kwa kufungua mahakama ya mafisadi? Mtu ambaye anarudisha nidhamu katika offisi za uma? Mtu anaepigania kufanya kazi? Kiongozi ambaye anasafisha mifumo mibovu kama elimu??
Wapinzani chonde chonde yale maisha ya kusubiri udhaifu wa serikali ndiyo mtengeneze ajenda pengine ndiyo wakati sahihi wa kuyaacha.. kila ajenda mnayopigia kelele Magufuli anaifanyia kazi.
Mlikuwa na nguvu kabla LOWASSA hajaja upinzani.. kwa zile kura alizosema mwenyekiti wa chadema mh Mbowe kamati kuuu nanukuu " makamanda kutokana na muda hatutapiga kura za siri.. wanaokubali lowassa simameni mmkunje ngumi hivi"... najiuliza katika mazingira hayo ungeweza kumkataa?? Lakini Lowassa yupo kamati kuu na vikao vyote vya juu anashiriki.. kwa katiba ipi?? Mwenyekiti wa chadema tukisema anatumia mabavu kuongoza chama kama ilivyowahi kulalamikiwa na watu kama Zitto Kabwe nitakosea???
Ukweli ni huu ajenda ya Upinzani ilikuwa ufisadi. Sasa hivi sio ajenda yao tena ndiyo maana ile list of shame wameifuta kwenye website yao ... narudia kumchukua Lowassa was a wrong move . .
Hivi hiyo september 1.. tu assume Magufuli akawaruhusu mufanye mikutano na maandamano ajenda itakuwa ipi??? Udikteta?? Yaani upo kwenye mikutano na unahojiwa kabisa na tv unasema hii nchi rais anaziba watu midomo... nasononeka upinzani unakufa haraka tofauti na nlivyofikiri.
Swali ni hili... ajenda kubwa ya upinzani ni ipi?? Jibu ni " kupambana na udikteta chini ya John Magufuli" rais wa tanzania amekuwa dikteta ambaye anaziba watu midomo. Naendelea kujiuliza huyo dikteta ni yupi ambaye anawaacha watu wamuite dikteta... ni dikteta yupi huyo ambae ukivunja sheria anakupeleka mahakaman na bado unashinda,unapewa rufaa..yaan dikteta anakuacha utafute haki Zako katika mahakama (chombo kinachosimamia haki)?? Dikteta anaziba watu midomo au anakuzima hata hiyo sauti hutoi??
Lakini bado najiuliza hivi wananchi issue ya udikteta unaclick kichwani kwa mtu ambaye ameanza kwa kufungua mahakama ya mafisadi? Mtu ambaye anarudisha nidhamu katika offisi za uma? Mtu anaepigania kufanya kazi? Kiongozi ambaye anasafisha mifumo mibovu kama elimu??
Wapinzani chonde chonde yale maisha ya kusubiri udhaifu wa serikali ndiyo mtengeneze ajenda pengine ndiyo wakati sahihi wa kuyaacha.. kila ajenda mnayopigia kelele Magufuli anaifanyia kazi.
Mlikuwa na nguvu kabla LOWASSA hajaja upinzani.. kwa zile kura alizosema mwenyekiti wa chadema mh Mbowe kamati kuuu nanukuu " makamanda kutokana na muda hatutapiga kura za siri.. wanaokubali lowassa simameni mmkunje ngumi hivi"... najiuliza katika mazingira hayo ungeweza kumkataa?? Lakini Lowassa yupo kamati kuu na vikao vyote vya juu anashiriki.. kwa katiba ipi?? Mwenyekiti wa chadema tukisema anatumia mabavu kuongoza chama kama ilivyowahi kulalamikiwa na watu kama Zitto Kabwe nitakosea???
Ukweli ni huu ajenda ya Upinzani ilikuwa ufisadi. Sasa hivi sio ajenda yao tena ndiyo maana ile list of shame wameifuta kwenye website yao ... narudia kumchukua Lowassa was a wrong move . .
Hivi hiyo september 1.. tu assume Magufuli akawaruhusu mufanye mikutano na maandamano ajenda itakuwa ipi??? Udikteta?? Yaani upo kwenye mikutano na unahojiwa kabisa na tv unasema hii nchi rais anaziba watu midomo... nasononeka upinzani unakufa haraka tofauti na nlivyofikiri.