Kilemakyaaro
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 5,050
- 5,114
Hawana hoja tena jamaniiiii....Mbowe kamtoa kafara mwenzake kwa sababu ya shilingiii..jamani pesa kitu mbaya wamepotea na hawajui wanachotaka tena,sio ufisadi wala wanyonge,hicho wanachopigia debe leo cjui kinamsaidiaje mkulima kijijini,cjui mlala hoi anafaidikaje tena kwa kubwabwaja anakobwabwaja Lissu..bora Slaa kajiondokea maana angekua anaaaibika mchana kweupe