Ni kiongozi makini sana. Ana upeo mkubwa sana wa kufikiri na kutenda. Anathubutu na anawapenda watu wake. Majuzi akiwa katika kijiji cha Lolkisale Monduli Lowassa alisema yeye akiwa mbunge anakusudia kuliomba Baraza la Mitihani la Taifa(NECTA) ililiwaruhusu wanafunzi waliofeli kidato cha nne warudie mitihani. Kweli, Monduli wamepata kiongozi. Taifa linahitaji akina Lowassa wengi.Kama Lowassa, ninaamini kuwa ELIMU KABLA.....