fdizzle
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 1,891
- 2,367
Shirika la ndege liko wapi, viwanda viko wapi, nenda ziwa victoria huko meli alizoacha nyerere ndio hizo hizo, nini alichofanya zaidi ya mambo maovu kulipuka, vuwanda kufa, meno ya tembo, wanyama kusafirishwa wazima wazima, tunataka mageuzi tuone na wao watafanya nini, tukiona hakuna walilofanya tutarudi kule kule, lakini sio kukalia huko kwa waliokutuma kuja kukashifu watu, kama fisadi ushaambiwa nenda na vielelezo mahakamani, usilalamike ka mbuzi anayetaka kujifungua
Dah upo sahihi kabsa unaweza kuchukulia mfano wa kenya na hatua waliyonayo sasa lkn sijui awa wanaotaka mfumo huo uwepo miaka yte wana mtazamo gan