Lowassa ndani ya Moshi leo

Lowassa ndani ya Moshi leo

Yaani leo Magufuli akipita hapa,na yeye kesho yake yupo,hana jipya huyu mamvi fisadi

Najua ina umiza Roho kama vile ukaambiwa rafiki yako anatembea na mumeo. Siasa ni jinsi ya kujipanga na si nguvu na makelele jukwaani.
 
Huyo Yahaya ndio Davis?Maana naona wengi wanasema hivi mimi sielewi.

Ndiye Yeye Nifah. Anataka kwenda kugombea ubunge sehemu za wenyewe. Anafikiria kuwa na Mabasi ya abiria ndiko kutaweza kuwavutia wakazi wa Moshi. Haki ya Mungu dunia ina mambo.
 
Ndiye Yeye Nifah. Anataka kwenda kugombea ubunge sehemu za wenyewe. Anafikiria kuwa na Mabasi ya abiria ndiko kutaweza kuwavutia wakazi wa Moshi. Haki ya Mungu dunia ina mambo.

Hawajui watu wa Moshi hawadaganyiki wengi ni waelewa ajiandae kisaikolojia
 
Kwa ushauri tu ni bora akapita maeneo aliyopita Magufuli baada ya siku kadhaa na sio immediately. Hiyo mbinu nawapa makamanda, am trying to be neutral here! Without biasness!
Ingawa chadema asilia tumeshasema lowasa hafai kuwa kiongozi wa nchi. Labda awe rais wa monduli. Lakini hata monduli hatakiwi kwa sababu pamoja na mapesa yake hajafanya lolote kule. Ni heri Namelock Sokoine abebe mikoba hiyo.

Mikocheni ITcenter at work
 
Kwa ushauri tu ni bora akapita maeneo aliyopita Magufuli baada ya siku kadhaa na sio immediately. Hiyo mbinu nawapa makamanda, am trying to be neutral here! Without biasness!
Ingawa chadema asilia tumeshasema lowasa hafai kuwa kiongozi wa nchi. Labda awe rais wa monduli. Lakini hata monduli hatakiwi kwa sababu pamoja na mapesa yake hajafanya lolote kule. Ni heri Namelock Sokoine abebe mikoba hiyo.

elimu elimu......
 
Kwa ushauri tu ni bora akapita maeneo aliyopita Magufuli baada ya siku kadhaa na sio immediately. Hiyo mbinu nawapa makamanda, am trying to be neutral here! Without biasness!
Ingawa chadema asilia tumeshasema lowasa hafai kuwa kiongozi wa nchi. Labda awe rais wa monduli. Lakini hata monduli hatakiwi kwa sababu pamoja na mapesa yake hajafanya lolote kule. Ni heri Namelock Sokoine abebe mikoba hiyo.

Chadema asili imesajiliwa lini?
 
Yaani leo Magufuli akipita hapa,na yeye kesho yake yupo,hana jipya huyu mamvi fisadi

Mama tulia dawa ikuingie kunako labda utajifungua!! Mlishangilia sana Manyara na Singida sasa zamu yenu!! Na huu mdundo ni mpaka tarehe 23
 
Kwanza anajitia aibu mbele ya wananchi. Kinapotoka kichwa Magufuli bayana na kwa kirefu kinachoongea sera na mambo ya kupambana na ufisadi halafu kinakuja kitu cha ajabu ambacho hata kikiongea hakionyeshi ajenda yoyote yenye mwelekeo, wananchi wanakudharau. Kwa sababu watalinganisha kati ya yule aliyetoka juzi kwa sababu bado wana kumbukumbu na wewe uliyekuja leo. Wanakukuta ni zero wanaanza kukudharau hapo hapo.
Tena uwezekano wa kupoteza washabiki ni mkubwa mara tu unapoondoka.

Kwa ushauri tu ni bora akapita maeneo aliyopita Magufuli baada ya siku kadhaa na sio immediately. Hiyo mbinu nawapa makamanda, am trying to be neutral here! Without biasness!
Ingawa chadema asilia tumeshasema lowasa hafai kuwa kiongozi wa nchi. Labda awe rais wa monduli. Lakini hata monduli hatakiwi kwa sababu pamoja na mapesa yake hajafanya lolote kule. Ni heri Namelock Sokoine abebe mikoba hiyo.

Huyo lofa huyo,yani anapita nyumanyuma kwa wenzie tuuuuuu!!!

Yaani leo Magufuli akipita hapa,na yeye kesho yake yupo,hana jipya huyu mamvi fisadi


Nyie muelewe kuwa Ratiba ya kampeni wagombea Urais wote imepangwa na NEC. Si kwamba wanajipangia wenyewe.

Alikadharika na wagombea Ubunge na Udiwani zinapangwa na Wakurugenzi wa uchaguzi maeneo husika. Si kwamba wagombea ndio wanapanga bvinginevyo tungekut kwa siku moja wote wanataka kutumia eneo moja au uwanja mmoja.

ndio maana hakuna mwingiliano. Mfano jimbo pakiwa na kampeni ya mgombea Urais yeyote basi eneo hilo hakuna kampeni ua Diwani wala ya Mbunge wa chama chochote.

Hawakurupuki, sasa hizi lawama wapelekee NEC watakujibu kwa nini akitoka Magufuli na Lowasa anafuatia.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Kwa ushauri tu ni bora akapita maeneo aliyopita Magufuli baada ya siku kadhaa na sio immediately. Hiyo mbinu nawapa makamanda, am trying to be neutral here! Without biasness!
Ingawa chadema asilia tumeshasema lowasa hafai kuwa kiongozi wa nchi. Labda awe rais wa monduli. Lakini hata monduli hatakiwi kwa sababu pamoja na mapesa yake hajafanya lolote kule. Ni heri Namelock Sokoine abebe mikoba hiyo.

Kwani hizi ratiba zinapangwa as compaigns goes on au?
 
Safi sana.... CCM wako hoi vibaya sana

attachment.php
attachment.php


MAGUFURI ; VIWANJA VYA MASHUJAA
 
Kwa ushauri tu ni bora akapita maeneo aliyopita Magufuli baada ya siku kadhaa na sio immediately. Hiyo mbinu nawapa makamanda, am trying to be neutral here! Without biasness!
Ingawa chadema asilia tumeshasema lowasa hafai kuwa kiongozi wa nchi. Labda awe rais wa monduli. Lakini hata monduli hatakiwi kwa sababu pamoja na mapesa yake hajafanya lolote kule. Ni heri Namelock Sokoine abebe mikoba hiyo.
luk @ u ass bitch tutakunyoso kwa nyuma yako ukitua huku monduli
 
Back
Top Bottom