Lowassa ndani ya Moshi leo

Lowassa ndani ya Moshi leo

Babeli nenda mirembe mwenyewe una matatizo ya akili usisubirie kupelekwa ndugu yangu
 
Hata unapokuwa kwa mkeo/mmeo huhitaji maneno meeeeeeengi kutaka mambo yetu yale kwani tayari ni wako. Hata EL hahitaji kutumia nguvu, hata akisimama jukwaani na kusema "nimekuja kuwasalimu" kwetu inatosha kabisa, kura haitapungua hata moja. Tatizo CCM wanatumia nguvu nyingi kusaka kura. Sisi tunasubiri tu siku ifike.

Kwanza anajitia aibu mbele ya wananchi. Kinapotoka kichwa Magufuli bayana na kwa kirefu kinachoongea sera na mambo ya kupambana na ufisadi halafu kinakuja kitu cha ajabu ambacho hata kikiongea hakionyeshi ajenda yoyote yenye mwelekeo, wananchi wanakudharau. Kwa sababu watalinganisha kati ya yule aliyetoka juzi kwa sababu bado wana kumbukumbu na wewe uliyekuja leo. Wanakukuta ni zero wanaanza kukudharau hapo hapo.
Tena uwezekano wa kupoteza washabiki ni mkubwa mara tu unapoondoka.
 
Kwa ufupi ni kwamba:
EL hahitaji kutumia nguvu, hata akisimama jukwaani na kusema "nimekuja kuwasalimu" kwetu inatosha kabisa, kura haitapungua hata moja. Tatizo CCM wanatumia nguvu nyingi kusaka kura. Sisi tunasubiri tu siku ifike.
 
Haya shika kalamu na karatasi tuanze kuhesabu MAFISADI upande wa CCM na upande wa UKAWA. Nijulishe ukiwa tayari ili tuanze kuhesabu pamoja...

Yaani leo Magufuli akipita hapa,na yeye kesho yake yupo,hana jipya huyu mamvi fisadi
 
Tulishawambia sisi tunamtaka Lowasa mbona hamuelewi nyieeee eboo
 
Huyo lofa huyo,yani anapita nyumanyuma kwa wenzie tuuuuuu!!!

Nyie mtangulie mbele kwanza kupiga pushap na mapanga na matusi ss tunakuja kistaarabu na ndo maana wanatufuata hamjawaambia lolote
 
Huyo Yahaya ndio Davis?Maana naona wengi wanasema hivi mimi sielewi.

Ndio wanamuita hvo sababu hawajui anaishi wap na wenyewe wanakwambia mbunge wao ni JAPHARY RAPHAEL MICHAEL
 
Kwanza anajitia aibu mbele ya wananchi. Kinapotoka kichwa Magufuli bayana na kwa kirefu kinachoongea sera na mambo ya kupambana na ufisadi halafu kinakuja kitu cha ajabu ambacho hata kikiongea hakionyeshi ajenda yoyote yenye mwelekeo, wananchi wanakudharau. Kwa sababu watalinganisha kati ya yule aliyetoka juzi kwa sababu bado wana kumbukumbu na wewe uliyekuja leo. Wanakukuta ni zero wanaanza kukudharau hapo hapo.
Tena uwezekano wa kupoteza washabiki ni mkubwa mara tu unapoondoka.

#HapaGizaTu
#KidumuKimetoboka
#Sera1😛ushUp
#Sera2:Matusi
#sera3😛ropaganda
#sera4:Wasanii
#sera5:Malori
 
Kwa ushauri tu ni bora akapita maeneo aliyopita Magufuli baada ya siku kadhaa na sio immediately. Hiyo mbinu nawapa makamanda, am trying to be neutral here! Without biasness!
Ingawa chadema asilia tumeshasema lowasa hafai kuwa kiongozi wa nchi. Labda awe rais wa monduli. Lakini hata monduli hatakiwi kwa sababu pamoja na mapesa yake hajafanya lolote kule. Ni heri Namelock Sokoine abebe mikoba hiyo.

Sasa kama hafai unampa mbinu ya nini?

1)Elimu 2)Elimu 3)Elimu
 
Yaani leo Magufuli akipita hapa,na yeye kesho yake yupo,hana jipya huyu mamvi fisadi

Kama hadi Raisi wa nchi anaogopa kumfungulia mashtaka na kumfunga hujiulizi huyu mtu ana nguvu gani??

Mpe kura yako bibie
 
Kwa ushauri tu ni bora akapita maeneo aliyopita Magufuli baada ya siku kadhaa na sio immediately. Hiyo mbinu nawapa makamanda, am trying to be neutral here! Without biasness!
Ingawa chadema asilia tumeshasema lowasa hafai kuwa kiongozi wa nchi. Labda awe rais wa monduli. Lakini hata monduli hatakiwi kwa sababu pamoja na mapesa yake hajafanya lolote kule. Ni heri Namelock Sokoine abebe mikoba hiyo.

tuliza mshono
 
Inabidi Fisiem wapite kuwapa wananchi Fiesta ya bure, then makamanda waje kutoa sera ni akili simple tu namna hiyo, usijiulize kwa nini anaanza Pombe anafatia Lowassa
 
Huyo Yahaya ndio Davis?Maana naona wengi wanasema hivi mimi sielewi.

Katika kampeni zake baada ya kushindwa kujibu swali kuwa endapo yeye ni mwenyeji wa Kiboroloni aonyeshe nyumba yake ilipo, kisha yeye akaonyesha ya dada yake. Watu wakamuwekea wimbo wa YAHAYA huu





Kule anajisumbua hakubaliki DAVIS jimbo la CHADEMA lile.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Ndugu wanabodi, leo hapa Moshi mjini kuna ujio wa Edward Ngoyai Lowassa kwa ajili ya kampeni akifuatana na kada maarufu na gwiji la CCM aliyechepuka hivi karibuni ndani ya CCM na kuunga mkono mabadiliko.

Mkutano huo wa Lowassa utafanyika katika UWANJA WA MASHUJA hapa Moshi mjini kuanzia saa nane kamili mchana.

Tangu asubuhi saa mbili kumekuwa na shamrashamra kubwa sana hapa Moshi mjini na viunga vyake. Hamasa ni kubwa sana, watu walianza kujaa uwanjani kuanzia saa mbili asubuhi na mpaka muda huu uwanja umeshatapika. Pia polisi (FFU) wametanda kila kona ya mji huo kwa kuangalia usalama zaidi.

Wananchi wote mliokaribu mnakaribishwa. Hii ni nguvu ya mabadiliko ndani ya Moshi na kwa Tanzania kwa ujumla. HAKUNA WA KUZUIA MABADILIKO....Mabadiliko ni lazima...!


 
Back
Top Bottom