john kenge
Member
- Sep 19, 2011
- 17
- 7
Mpaka wakati huu dakika chache baada ya kuwasili mkoani Geita katika viwanja vya CCM tayari amekwishapata wadhamini 45.
Muda si mrefu ataongea na wana Geita na wana CCM kwa ujumla.
Hakika huyu anaweza kuwa suluhisho la matatizo ya Watanzania akichaguliwa kuwa Rais wa JMT.
Muda si mrefu ataongea na wana Geita na wana CCM kwa ujumla.
Hakika huyu anaweza kuwa suluhisho la matatizo ya Watanzania akichaguliwa kuwa Rais wa JMT.