Kwanguvu Aliyonayo Lowasa, Ni Dhahili Ccm Watampitisha Yeye Kupepelusha Bendera Mwezi Wa Kumi, Na Hapo Ndio Utakuwa Mwisho Wa Ccm, Kwasababu Hakuna Mtanzania Asiyejua Ubaya Wa Lowasa, Na Mihangaiko Ya Kutaka Urais Kwa Nguvu, Akizunguka Huku Na Kule,mala Aende Misikitin Mala Makanisani Mala Kwa Waganga Wa Kienyeji Mala Kwa Tibii Joshua, Wamekuwa Wakijiuliza Huyu Mtu Analengo Gani Na Taifa?
Mpaka Wanaccm Wenzie Wameingiwa Na Wasiwasi, Na Hapatani Kalibia Na Kila Anaegombea Urais, Kwa Sababu Mbalimbali, Wengine Wanahis Atalipa Kisasi Kutokana Na Kumuweka Peupe, Hivyo Nao Hawako Tayari Kuna Lowasa Anakalia Ikulu.
Nguvu Ya Lowasa Wanayoigopa Ccm Kwamba Itagawa Chama, Ni Ndogo, Kuna Nguvu Ndani Ya Chama Imekaa Kimya Wakisubili Nini Kitatokea, Na Hiyo Ni Nguvu Kubwa Si Kawaida, Tunakwenda Kushudia Anguko Kubwa La Ccm.